Sijui nieleweje hii sms.

io ndo yaitwa asojua maana haambiwi maana,me naona mesej imejieleza ila umeitafcr peke ayo,apo ndo ulkua unapewa taarfa rasm kwamba anakusalit lakn labda kla akiwa ktk harakat hzo anapata vkwazo ndo anakuulza labda km kuna tego lolote umemtegeshea eb ltegue mwnyw aende na zake.TAFAKARI
 
kijana mi naona toka ile thread yako ya kwanza ulionyesha kutojiamini na mahusiano yako...sasa naona mamaa naye kaona bora atafute mwengine...anza kumchunguza kwa ukaribu...mulika mwizi
 
anakupenda sana kiasi kwamba huwa anajisikia vibaya anapo-do na mtu mwingine which is why huwa anamlazimisha jamaa acheue nje ili kukulindia heshima teh teh teh...
 
unatakiwa ujiulize ni kweli anashindwa kukucheat? au ana kufariji? kwa nini ajaribu kukucheat? hakupendi huyo! na kushauri na wewe huanze kujitoa mapema kabla hauja imba wimbo wa solemba!
 


Jaribujaribu yake ya kutaka kukusaliti iko siku atafanikiwa.
 
Nawe jaribu kumwambia vile vile kuwa: umejaribu mara kadhaa ku cheat, lakini moyo umekataa kwa ajili yake. Then angalia atakavyo react. Jibu utakalopewa na huyo demu wako, leta hapa jukwaani.
 
Nawe jaribu kumwambia vile vile kuwa: umejaribu mara kadhaa ku cheat, lakini moyo umekataa kwa ajili yake. Then angalia atakavyo react. Jibu utakalopewa na huyo demu wako, leta hapa jukwaani.
...............tena mwambie kitu kimefika kimiani, mara kikakataa !
 
Habari yako dada, i think kati ya wasichana wenye wapenzi waaminifu wewe ni mmoja wapo. Kama huyo mchumba wako kaamua kukwambia wazi kiasi hicho, ina maana na yeye ilikuwa inamuumiza sana akitafakari hayo majaribio aliyokuwa akitaka kuyafanya. So u re luck to have a man of that kind. Amini anakupenda kweli na sana. JIAMINI
 
mmmh, ngumu sana.

Ukirushiwa mishale 20, uwezekano wa baadhi kukupata ni kubwa.

Watch out!
Nimeipenda hii, ila ndugu Billie jifunze kupenda kupo na kuchukiwa kupo, kukubaliwa kupo na kukataliwa kupo, kumega kupo na kumegewa kupo ! Hapa ni kijitayarisha tuu na hayo majanga kisaikolojia. Zidisha 'control mechanics.'
Mwana.F.A anasema yeye akimegewa na yeye anamtafuta mnyonge na yeye anammegea, at least inamliwaza !
 

ndugu mimi ni wa kiume ila nashukuru kwa ushauri wako mzuri.
 
Uuuuuuuuhhhhhh
huwenda ashakusaliti,anajishaua tuuuu
 
You are finished!

Ila kama wewe ndo kakupanga wa ndoa, mtaoana tu.

Kumbuka, sharing is caring.

sometimes huwa nafikilia kama inawezekana ameshindwa kutumia lugha vizuri labda alimaanisha kuwa hawezi kabisa kufikilia kunisaliti kwa kuwa ananipenda sana imenibidi nijidanganye kwa style hii kwa kuwa sijawahi kufuma usaliti wowote
 
oops! Ningejua umri wako ningeweza ku-comment zaidi juu ya hiki ulichokisema. Lakini kwa kifupi, ku-cheat sio suala la kuwa mwanamke (mama, shangazi, dada kama ulivyosema), kila mtu anaweza kudanganya katika mapenzi. Hata wanaume wanadanganya sana. Tena nawezakusema wanaume ndio zaidi kuliko wanawake. Hapo umepotosha mada, wakiiiona wenyewe watakushambulia mpaka ukimbie jamvi.Toa ushauri wako bila kupotosha mada ndani ya mada.
 
Kwenye ile thread nyingine nilikushauri achana na huyo mwanamke.
Utakufa kwa presha bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…