Hawatakufuatilia Mama. Hebu tuambie mpango mzima ulikuwaje ili na sisi wenzio tufanye hivyo. Hivi ulimtumia nani pale wizarani vile?jaman nimefikiria ndo maana nikaandkika sijakurupuka maisha ni popote lazima niandike coz sijaanza mimi ndo nauliza watakuja kunifatilia baadae au ndo imetoka
Mtu anakwambia alifeli tena kwa kiwango cha kukosa cheti (zero) halafu huamini kama ujinga huu ni wa kwake? Mimi nakushangaa weweInawezekana hii issue imetokea kweli, ila kuna mtu kaamua kuji register humu JF kwa kutumia hilo jina la jamaa na kuandika hii thread kuhusu hiyo issue. Sidhani unaweza kuwa mpumbavu kiasi hicho uandike issues serious ya kufoji af utumie jina lako halisi na uonyeshe na sehemu ulipo
mkuu hivi unaishi tanzania hii ya kwetu tunayoishi sisi au uko masaki??
ODM utaenda lini mkuu? kama vipi acha nae mkuuOmba mods wafute hii sredi fasta. Hata kama hujatumia jina lako ujue ndo ushaleta uchuro. Watafuatilia kwa kina wote waliopata nafasi ya kusoma hapo chuoni wakiwa na uhakika kuna mmojawapo ameghushi vyetu. Ntakuja hapo mimi mwenyewe kukagua.
Ndugu wana JF mimi ni msichana nimemaliza form four mwaka 2005 nikafel vibaya sana nimekaaa kwa mda mrefu nyumbani mwaka jana kuna mtu akanishauri ninunue cheti cha form four kutoka wizarani kwa sh laki 5, nikafanya hivyo nikapata cheti chenye three ya 25 ila ambacho hakina credit nikaomba chuo cha CO yaani clinical officer hapa machame moshi sasa mwezi wa kwanza wakachukua vyeti kwa ajil ya kuvikagua kama ni orginal, vimerudishwa juzi na sijafukuzwa sasa sjui hawajagundua au watakuja kunifukuza baadae mpaka sasa sielewi
wewe utakua umetumwa, ila umebugi step.sijatumia langu arafu kaka haya ni maisha jaman yapokua magum tunatafuta maisha kwa njia yoyote ni bora mimi kuliko anaeua kwa ajil ya kutafuta maisha jaman