Story ngumu kuliko maisha yangu🙆♀️Sijaelewa story
Fanya utaratibu nafsi yake ikae sawaMwamba kumbe kachanganyikiwa long time kitambo🤣🤣🤣
Kwahiyo umeruhusu?Fanya utaratibu nafsi yake ikae sawa
Ulishamruhusu, nimempiga chura teke tu...Kwahiyo umeruhusu?
Fuba, maokoto, chapaaERoni , Mshana Jr , Mbaga Jr , Vishu Mtata, Lamomy , Evelyn Salt , Nifah , Hornet , Lovelovie , dronedrake
Aaaaaaàh acha kunisingizia😥Ulishamruhusu, nimempiga chura teke tu...
Mara bubu mara ana nyota mara watu hawapendi awe nae mara akiwa nae wanafurahi....kwakweli ni HABARI NA HOJA MCHANGANYIKOStory ngumu kuliko maisha yangu🙆♀️
Kama umesoma Riwaya ya (Mabaduni wa Serikali) humo utaona Jina la Shatoto Complex hapo ndipo utaelewa kwanini nilitumia lile jina kulipamba Jengo kubwa na zuri namna ile.Ulishamruhusu, nimempiga chura teke tu...
Na story yenyewe inakuhusu wewe..Story ngumu kuliko maisha yangu🙆♀️
Aaaah hapana, mie haiwezi kunihusu kabisa.Na story yenyewe inakuhusu wewe..
Lazima uione ngumu.
Atoto kama unakataa basiAaaah hapana, mie haiwezi kunihusu kabisa.
Hatari sana yaani usiombe uachwe na huyo mpenzi kwanza unaishiwa pozi..Nimewahi kusikia
( pesa ni MC mzuri sana inajua kumtambulisha mtu)
Tafuta hela.Atoto kama unakataa basi
But nilegezee utaniua wewe.
Samaraizi nimeona topic ndefu km mnyooERoni , Mshana Jr , Mbaga Jr , Vishu Mtata, Lamomy , Evelyn Salt , Nifah , Hornet , Lovelovie , dronedrake