Sijui nini kimetokea sasa hivi wasanii wamekazana kuimba kuhusu ngono

1. Walianza kuhamasisha upendo
2. Wakaanza kushikana mikono
3. Wakaanza kukumbatiana
4. Wakapelekana sebureni
5. Wakaingizana chumbani
7. Sasa wanaimba ya kitandani

Hawajaishia kuyatamka tu bali hadi kuyatenda na kutuonesha kwenye videos zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga amejibu vyema, wanacheza na mahitaji yetu.
Akili za kiafrika zimejaa ngono 90%
JK alisema bungeni...ukitaka kula liwa kidogo.
Unajua kwanini wabunge wote walicheka?
Sababu walitafsiri KINGONONGONO

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo si soko, tatizo ni wafanyabiashara ikichangiwa na media. Sanaa na media zinao uwezo mkubwa wa kuiunda jamii iwe ya namna gani!
 
Umeandika jambo kubwa sana ambalo wengi wao wanalipuuzia mzigo wa lawama wanamtwisha raia msikilizaji.
 
Nyakati hazifanani mkuu. Wanaimba kutokana na mahitaji ya wakati. Hawa jamaa wanajua soko lao vinginevyo wangeacha kuimba. Hapa tulipofikia bado sana, omba Mungu akupe uhai ifikapo 2030 hali itakuwa tete zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ye kaona tu music hajaona wadada wanatembea robo tatu uchi?? Tukifika huo mwaka kila kitu hadharani
 
Wengi wao wanadhani uwingi wa wimbi fulani kwenye issues za music wanadhani raia kupenda aina hii ya music ndiyo kitu wanachokihitaji kwa sasa! Wanasahau kuna medias, kuna wasanii wakubwa ambao wana ushawishi mkubwa nao wanao uwezo wa kuiunda jamii iwe ya namna gani!

Media kubwa + wasanii wakubwa wana uwezo Mkubwa sana wa kubadilisha soko la mziki.
 
Shida ni media outlets ndizo zinatufikisha hapa.

Media kuanzia online hadi hizi radio na television channels.... Hizi ndizo huwa zina mobilize upuuzi na wafuasi huwa wanaiga tu bila kujua madhara....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesha sodomiziwa kitaaamboooooh lol [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tembo kutwa nadindisha mkonga" , "mtoto mwaga maji nimwage mbolea". Naomba aliye karibu na Harmonize amuulize maana ya haya aliyoyaimba kwenye "acha lizame" aliyoshirikishwa na Nandy.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wamekuwa wengi mno na kila mtu anaimba mapenzi na mapenzi hayana jipya masikioni na machoni pa watu.... Roughly ni kwamba wamefika ukomo wa kufikiria
 
Mjomba wangu nimemsikia anaimba huu wimbo wa Nandy na Harmonize.."unapenda vya giza giza kama hujanizoea...shamba mwaga maji nimwage mbolea.." na nndio kwanza ana miaka 8. Aisee!
 
"Usijidanganye umemkamataa mtoto wa mujini magoli mengi samatta hata uende chumvini"

"Sio tu unakunywa pombe unajua analipa nani,twende nikakupe guu la ng'ombe ukaugulie nyumbani"

Harmonize -one night stand
"Tembo kutwa nadindisha mkonga" , "mtoto mwaga maji nimwage mbolea". Naomba aliye karibu na Harmonize amuulize maana ya haya aliyoyaimba kwenye "acha lizame" aliyoshirikishwa na Nandy.
 
"Usijidanganye umemkamataa mtoto wa mujini magoli mengi samatta hata uende chumvini"

"Sio tu unakunywa pombe unajua analipa nani,twende nikakupe guu la ng'ombe ukaugulie nyumbani"

Harmonize -one night stand
Aisee! Huyu Harmonize kweli amekuwa mwanafunzi mzuri wa boss wake wa zamani Diamond. Hatarii. Ngoja niusikilize huu mdundo.
 
"Tembo kutwa nadindisha mkonga" , "mtoto mwaga maji nimwage mbolea". Naomba aliye karibu na Harmonize amuulize maana ya haya aliyoyaimba kwenye "acha lizame" aliyoshirikishwa na Nandy.
Kwa mashairi kama haya ndio maana Harmonize anadai tuzo
 
umesahau Acha Lizame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…