Kweli mkuu vijana wengi tunapata msongo wa mawazo kwa kutaka kuvipata vitu vyote kwa wakati mmoja au kwa kipindi kifupi ila ukiingia duniani, ni struggle of the fittest..Upo sahihi kiongozi wangu!
Tafuta maarifa/ujuzi
Kisha tengeneza jina mwisho kabisa sasa tengeneza pesa. Hapo lazima utoboe tu
Asante sana Mkuu.. atleast tumejadili Vitu vya Muhimu saana..Kua mpole usiwaze kila MTU Na Maputo yake . juzi niliandika kitu but naona kilikua offeoffensivende wako kila ile tulikua u kweli mchungu! Kwa system ya Tanzania. Nina vingi vya kuongea nawe kila chaji imeisha kesho ukiwa online nistue time tusemezane iwe dini, life,Entertainment, Business, Conspiracy, Criminology etc
Usiku mwema kwako Mkuu Na wadau tulikua naona humu.
Mademu wote hawaHuyo Mwanamke unafikiri yupo wa Kufyatua nae?
Yeap na hicho ndo nilichokuwa nasema... you cant be everything lakini fanya kitu kinachokupa fullfillment.. mimi kwa kweli sipendi vitu average lakini kuna watu wanaopendaAbsolutely.... Some of us were born to live a normal life,no advantage for seeking fame.
Pengine ni inspirational speaker [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].. shukrani mkuu lakini ni maarifa tu tunayoyapata kwa kutoka nje na kuchangamana na watu ambao wanatujenga kwa kiasi flaniBonge la Nukuu.. ikifika hatua uko hivi.. wewe ushatoboa mwana..
sure Mkuu wenye Lugha yao wanasema Deep Conversation with the wise person is PricelessPengine ni inspirational speaker [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].. shukrani mkuu lakini ni maarifa tu tunayoyapata kwa kutoka nje na kuchangamana na watu ambao wanatujenga kwa kiasi flani
Nice one mkuu.....There are three enemies of personal peace... Regret over yesterday's mistakes, anxiety over tomorrow’s problems, and ingratitude for today's blessing.
Wewe yapili ndo inakusumbua, if we can even call it a problem, worried about how you are gonna be remembered. This is gonna make you lose sight of what you have right now and what you can do with it.
Mkuu lets keep this thread alive..mwaga madini kiasi hapa tupate kushea na kukua wote kimawazoKua mpole usiwaze kila MTU Na Maputo yake . juzi niliandika kitu but naona kilikua offeoffensivende wako kila ile tulikua u kweli mchungu! Kwa system ya Tanzania. Nina vingi vya kuongea nawe kila chaji imeisha kesho ukiwa online nistue time tusemezane iwe dini, life,Entertainment, Business, Conspiracy, Criminology etc
Usiku mwema kwako Mkuu Na wadau tulikua naona humu.
Kaka.. tatizo moja tulilonalo na mimi ambalo nimeamua kuliacha ni kuona zuri tu katika story..i appreciate Bro.. Mimi nataka Kuanzia zero kabisa, Kinachonipa haya mawazo ni Bwana Mmoja aliturequest tumsaidie kwenye ishu Moja ya Concrete Mixing.. ee bwana mshikaji ana elimu ya std VII ila anamiliki kampuni ya Ujenzi class one.. na anasema alianza kama Fundi Nyoka..
Absolutely.... Ila usiishi ili kutafuta umaarufu kwa unayoyafanya,acha umaarufu ukutafute wew kwa unayofanya...if u live for fame ,bhc ur heart won't be pleased without having such a fame so u will be ready to do anything even harmful ones to u and ur people maadamu tu umeacha jina duniani...ndio maana siku hz watu wajo tyr kujiunga kwenye secret societies kama illuminati just to seek fame!!!!what will that fame do with u after u die?? We remember Michael Jackson,tupac,and others so what are they benefiting in their graves??? I c no advantage for fame kabisa...we ishi maisha yako,chapa kazi uwezavyo,ukipata umaarufu sawa,usipopata sawa piaYeap na hicho ndo nilichokuwa nasema... you cant be everything lakini fanya kitu kinachokupa fullfillment.. mimi kwa kweli sipendi vitu average lakini kuna watu wanaopenda
Wewe unaona kuacha jina au "legacy" ni pointless lakini kuna mwingine akimsoma mother Theresa au mahatma Ghandi ndo anaihisi ile fullfillment... hivyo tuishi tu kwa uwezo wetu yaani ule maximum kabisaa
Kila mtu ana njia zake maana kuna watu wanatafuta fame kwa target zao na wanapoupata huutumia vyema...Absolutely.... Ila usiishi ili kutafuta umaarufu kwa unayoyafanya,acha umaarufu ukutafute wew kwa unayofanya...if u live for fame ,bhc ur heart won't be pleased without such fame so u will do anything to harm u and ur people maadanu tu umeacha jina duniani...ndio maana siku hz watu wajo tyr kujiunga kwenye secret societies kama illuminati just to seek fame!!!!what will that fame do with u after u die?? We remember michsrk Jackson,tupac,and others so what are they benefiting in their graves??? I c no advantage for fame kabisa...we ishi maisha yako,chapa kazi uwezavyo,ukipata umaarufu sawa,usipopata sawa pia
Daah very truee Boss..
Ni kweli, its very easy to get distracted na hivi vitu. Vinaweza vikakufanya you lose focus. Ni ku-make the most of what you have right now and keep pushing yourself.Nice one mkuu.....
Past 've already pass ,future may never come..all we 've got is our present
Le akili kubwazzzzzzzzAnhaa nimeona ulipoegemea sasa. Wewe wahitaji kuacha alama iyoshikika/Tangible, unaonaje uache alama intangible hafu kisha uandike vitabu. MTU kama Siddhartha Gautama, Paulo Apostle, Thomas Aquinas, Jesus of Nazareth, Ni baadhi ya watu walioacha alama duniani Na watakumbukwa daima ila hawakufanya vyote ulivuoainisha hapo there purpose were to pursue Inner Peace & Happiness by doing Good Acts, Help,Advice etc.
Hebu fikiria kuweka alama duniani Na huko utakapoelekea baada ya kuishi hapa.
Daaah ukitulia unaandika fact..Naamu mkuu
Kila binadamu katunukiwa kipawa chake, hakuna MTU anaweza kua vile anavyotaka Bali ni vile unatakiwa kua. Ila wewe binafsi ndio unaweza kufika pale unapotakiwa kua (You're a creator of your own destiny)