Hairstyle?Hello people. Jamanie naombeni ushauri wapi nitapata jumpsuit nzuri na makeup nzuriiii kwa ajili ya graduation yangu itakua 7th November. Kwa anaejua makeup artists wazuri please naomba aniambie ni yupi the best. Pamoja na ushauri wa hairstyle nzuri itakayofaa siku ya graduation. Mimi nipo Dar so naomba kujua sehemu za Dar [emoji7]
Kwa make up nzuri hebu mtafute Dada mmoja anaitwa Fazia yuko hapo Ilemela alimpamba mke wangu siku ya harusi ni mtaalamu sana.
kibumbu kilinusulika lakini huko chuoni?Hello people. Jamanie naombeni ushauri wapi nitapata jumpsuit nzuri na makeup nzuriiii kwa ajili ya graduation yangu itakua 7th November. Kwa anaejua makeup artists wazuri please naomba aniambie ni yupi the best. Pamoja na ushauri wa hairstyle nzuri itakayofaa siku ya graduation. Mimi nipo Dar so naomba kujua sehemu za Dar [emoji7]
Ilemela ndo Dar we Bata?Kwa make up nzuri hebu mtafute Dada mmoja anaitwa Fazia yuko hapo Ilemela alimpamba mke wangu siku ya harusi ni mtaalamu sana.
Unaishi Dar huijui Ilemela? [emoji15] [emoji15]Ilemela ndo Dar we Bata?
Miss you my dadaDuuh!!
We Kobe umeoa lini? πππKwa make up nzuri hebu mtafute Dada mmoja anaitwa Fazia yuko hapo Ilemela alimpamba mke wangu siku ya harusi ni mtaalamu sana.
Ndio watanzania Sie, swali kwa swaliYani jamii forums siku hizi imevamiwa. Kama mtu huna cha kuchangia si ukae kimya. Nimeuliza kitu kingine na mimi naanza kuulizwa, mara umesoma chuo gani, mara form 4 au la saba, sasa yote hayo yanahusika vipi na hairstyle, nguo na makeup. Watanzania sijui tunakwama wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Miss you too Mdogo wangu. Mzima?Miss you my dada