Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Tulia wewe haya mambo huyajui.We Kobe umeoa lini? [emoji23][emoji23][emoji23]
JF tunabadilika kulingana na mazingira. [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe haya mambo huyajui.We Kobe umeoa lini? [emoji23][emoji23][emoji23]
labda uso wake umechachuka kama wa WakudadavuwaMakeup ya nini? kwanini usiwe natural mtoto mdogo wewe.
Hata me naona 😂😂😂Tulia wewe haya mambo huyajui.
JF tunabadilika kulingana na mazingira. [emoji23] [emoji23]
[emoji137][emoji137]Miss you my dada
Hi....umekuwa adim wewe[emoji137][emoji137]
Wewe zaidi.Hi....umekuwa adim wewe
we manzi pungasese kweli eti imevamiwa wakati we umejoin tu 2018 apo ushuzi wewe , tunakuuliza umesoma chuo gani ili tujue upo mkoa gani,l cause kabla hujaedit hukutaja mkoa sa husemi hata ni wapi, ukitajiwa mua wa kenya je, pungasese wewe
Ni salama kabisa ndugu..Wewe zaidi.
Bila shaka upo salama salimini
Nimefurahi kusikia hivyoNi salama kabisa ndugu..
Kwanza kabisa pongezi ziende kwa JPM kwa kufanikisha wewe umalize chuo hakika tumepata rais jembe kafanya mambo makubwa, alipoingia tu akaleta kupatwa kwa jua, pia ameenda kuongea na malaika anaehusika na mvua ili mwaka huu tuivishe mpunga vzr mpaka na pale jangwani walime mwaka huu! viva MAGU vivaYani jamii forums siku hizi imevamiwa. Kama mtu huna cha kuchangia si ukae kimya. Nimeuliza kitu kingine na mimi naanza kuulizwa, mara umesoma chuo gani, mara form 4 au la saba, sasa yote hayo yanahusika vipi na hairstyle, nguo na makeup. Watanzania sijui tunakwama wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shukrani...nimefurahi piaNimefurahi kusikia hivyo
Shija, Ilemela ipo wapi?Kwa make up nzuri hebu mtafute dada mmoja anaitwa Fazia yuko hapo Ilemela alimpamba mke wangu siku ya harusi ni mtaalamu sana.
Unashangaa comments au uzi?Duuh!!