NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Wanajisahaulisha [emoji16]Kwano uongo? Au umesahau mwaka wa juzi mlipigwa faini ya dola elfu 10 baada ya kuwasha moto uwanjani kabla ya mchezo wenu na Orlando Pirates kule Afrika ya Kusini, halafu mwisho wa siku mkaishia kufungwa!
Huwezi kukuta real Madrid au man u Wanafanya upuuzi Kama huuuKiukweli ni upuuzi na upumbavu watu wenye akili timamu kukaa na kupanga kufanya mambo ya kishirikina wazi wazi.Kupanga kuchoma moto katikati ya uwanja ni upuuzi mkubwa sana.
Na sio kwa simba tu hata timu zingine mara wanakaa na kupanga wasipite geti rasmi kuingia uwanjani. Yaani klabu kubwa zinafanya mambo yanayofanywa na klabu za mtaani.
Wamekusikia ushauri wakoSerikali ilegeze suala la ajira,Hali ni tete
Tuendeleee kusubiri kichapo kitakatifu kutoka kwa horoya.Mechi ya mwisho katika kundi ndio ngumu kwa simba sc sio hii ya horoya
Kinyume nyume fcUMEANDIKA KIMBEA SANA.
HII NI AIBU SANA.
Kweli wenye nazo ni wawili tu
Punguza mdomo shougaaa angu, kuwa buzzy na team yako.Safari hii wanaweza kuingia uwanjani na bundi [emoji1657]aisee!
Na mara nyingi wakifanya vitendo vya kishirikina, huishia tu kufungwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dr uchwaraaa wee, njoo tenaa useme maneno yakooo mxxxieeeeeewwwwwHata waingie uchi wa mnyamA hawatoki mbele ya Horoya
Baada ya kauli ya JK kuwa wanaolalamikia ugumu wa maisha ni wanafiki nimejiridhisha kuwa kwa sasa mwenye akili amebakia mmoja tuWenye akili ni wawili tu
Tayari bawasiri imeshakushuka aibu yako hiiSafari hii wanaweza kuingia uwanjani na bundi [emoji1657]aisee!
Na mara nyingi wakifanya vitendo vya kishirikina, huishia tu kufungwa.
Mtoa mada njooBaada ya mechi kuisha Jumamosi mtoa mada👇
View attachment 2554278
Mjinga ata kitu sahihi hauwezi kureport kama umeajiriwa boss wako anawakati mgumu na kama umejiajiri unatesa wateja wako, haujui kuchukua maelekezo kiufupi unamacho laini hauoni. Moto uliwashwa kabla ya penalties sio kabla ya mechi kuanza.Kwani uongo? Au umeshasahau mwaka wa juzi mlipigwa faini ya dola elfu 10 baada ya kuwasha moto uwanjani kabla ya mchezo wenu na Orlando Pirates kule Afrika ya Kusini, halafu mwisho wa siku mkaishia kufungwa!
Aibu yakoHata waingie uchi wa mnyamA hawatoki mbele ya Horoya