Sijui tutaishia wapi na huyu mke wa mtu

MKE WA MTU SUMU

Nakazia : mke wa mtu SUMU imshort sitakagi mazoea na wake za watu alafu wanatupenda sana single boys
 
Hivi unajua Eroo unazingua sana,Asa kinachokushinda kumwelewa huyo Mzinzi mwenzio mtarajiwa nia yake ni nini? Ni kipi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo wewe ni lofa kiasi kwamba unalala gheto mchana kutwa na hata huna kazi ya kufanya na unakula, na kodi unapata na Malaya wanakupenda?
 
Litakukuta jambo, alafu bado unangojea ajae kwenye mfumo, kama alikuja mkacheki makatuni mpaka giza linaingia na hukumgusa achana nae kuna baya ambalo limekuepuka usiposikia shauri yako ngoja ubong'olewe huko fyade.
 
mnazoenaje na mwanamke anayeleta mazoea...unamtafuna chap...alafu unaleta goma lingine atulie na mme wake...ukifumwa utakojoa dagaa...
 
Mnafosi kuaga hili kundi letu la wanaume kwa lazima kila la kheri sisi bado tupo tunaendelea kuupambania huu upande wetu.
 
Sijui nikwambie nini mkuu ila niseme tu wewe ni rofa mkubwa sana, hivi unawezaje kuwa na confidence kiac hicho kwa mke wa mtu mpaka unamkaribisha gheto anaangalia movie nawewe unalala kabisa unajiachia kindezi namna hiyo huu ni upunga, mke wa mtu uwezi zurura nae namna hiyo kama shoga yako et mara mkaoshe viombo mara mkae vibarazani mpige stori mara mkaachek movie huu ni undezi wa kiwango cha juu sana halafu mke wa mtu sio wa kucheka nae ovyo ovyo na kama vile alishafanikiwa kuingia gheto ungemuweka humo humo cha fasta halafu unapita hv kesho unaleta goma lingine unakata mazoea kabisa ila kwa wewe ulivyo punga unakuja tena unakuja kuomba cha kukushauri hapo wewe endelea kuzunguka na huyo shoga yako usubili kupakwa mafuta shenzi sana
 
Ndio, inaitwa "jinsi nilivyotatuliwa marinda na mwanaume mwenzangu".

Hapo juu kaweka season ya kwanza. Season ya pili itakuwa fupi na episode moja tu ya jinsi alivyopakatwa na mume wa demu wake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ season 2 itakua tamu Sana tuandae popcorn
 
 
NATAMANI KWENDA KUPANGA
hahahah akili yako imewaza mbali sana,sema unaeza kwnda kupanga haya mambo uspate kabs,ila ukfankiwa jtahd kubalance shobo..kuna muda ongea na majran kuna muda wakunjie inshort usieleweke ukfanya hvyo ata kuna mambo ya chin chn yanaendlea watakufata kukuambia kila mtu kwa muda wake..
 
Achana na hayo mambo, fanya mambo mengine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…