Sijui tutaishia wapi na huyu mke wa mtu

Kuna mtu alipigwa msale kwa tabia Kama hizo, kuwa makini na mke wa mtu.
 
Mke wa mtu ukila...tafuta dem chap akae hapo kwako ili uyo mwanamke awe na wivu...ataacha kukusumbua
 
Vijana wa skuizi matako kweli Sasa hapo unaona huyo manzi anakupenda au anataka upakwe FUTA?
 
Yan stori yote hii unataka tukushauri kuhusu mke wa mtu ...achana nae na umchane live kuwa mpunguze mazoea ya kijinga
 
Siku ukikamatwa utanyonyeshwa mjegeje hutaamini.
 
Hapa kuna mdada tia maji Tia maji nasikia mme wake alisema siku amkute mtu na mkewe, watagawana nyumba za serikali

Be careful
 
Si umkulee piga pombe mwanzishie kimasihara akitiki kula akigoma singizia pombe
 
Mpaka sasa hivi tigo yako kuwa salama ni jambo la kushangaza sana
 
Hapa kuna mdada tia maji Tia maji nasikia mme wake alisema siku amkute mtu na mkewe, watagawana nyumba za serikali

Be careful
dah hatar,leo tanesco wamesaidia kdg,umeme haupo hana ksngzio cha kufka kwangu..
sjui ntaanzaj kumpga marufuku kuingia kwangu make kshazoea tyr..kuhusu kuvnja mazoea kaz n rahs sana japo ni mwanamke ambae nlikua namwelew kabla ajaletwa apa hili ntajtahd kupotezea..na knachonfany niwe na maswal meng ni kwamb sabu nlionyesha namtaka kabla hajaolew ila alpoolewa mi nkamkaushia anatak kutngneza mazngra tuendlee au niendlee mi kutngneza mazngra ya mi kuendlea kumtaka?

hii kuja gheto kwangu si sawa datz y mwanzo alkua anaogopa ila why saiv anaingia..
 
Wanaume wakatili huwa ni wakimya hawasemi chochote, huyo mume wake ameshajua kinachoendelea ila anajidai hajui. utakuja kujikuta upo kwenye jengo halijaisha kujengwa na hujui ni wapi na pembeni kuna SMG na majitu usio wajua sura wala hukuwahi kuwaona.
 
Si umkulee piga pombe mwanzishie kimasihara akitiki kula akigoma singizia pombe
hahahah hii nzuri,asje nletea kesi nkutwe ata kumla sjamla dadeki wait..pombe hapendi,ila anajua natumia kishada,sa ngj one day nmoke af ajae kwny 18 nalianzsh aknpa napga akruka ndo mwisho wa yy kuingia gheto..
 
Maelezo yote hayo ya kazi gani Sasa? Mpaka muda huu bado hujamla tu? Embu acha masihara bana.
 
Ndio, inaitwa "jinsi nilivyotatuliwa marinda na mwanaume mwenzangu".

Hapo juu kaweka season ya kwanza. Season ya pili itakuwa fupi na episode moja tu ya jinsi alivyopakatwa na mume wa demu wake.
Huwa hafanyi masahihisho akiandika.Mwishowe itabidi afanye hivyo aweke kichwa cha habari hapo juu kwani ndio itakuwa mwisho mkasa utakaompata.
Yanini kusubiri kote huko na mwanamke wenyewe inaonekana ni mwehu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…