Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Wanawake wanaofunga kisawasawa huwa wananawiri zaidi na kuwa na nyuso zenye mng'aro na nyororo kuliko siku za kawaida.
Uwezekano wa kupata mimba huongezeka zaidi mara baada ya mfungo huo mtukufu kuliko miezi ya kawaida.
Nimezungumza hivyo kwa utafiti wangu mwenyewe na kwa kuona matokeo kwa wengine.
Uwezekano wa kupata mimba huongezeka zaidi mara baada ya mfungo huo mtukufu kuliko miezi ya kawaida.
Nimezungumza hivyo kwa utafiti wangu mwenyewe na kwa kuona matokeo kwa wengine.