Sijui wenzangu mmeliona hili kwa wanawake wanaofunga Ramadhani

Sijui wenzangu mmeliona hili kwa wanawake wanaofunga Ramadhani

Ulishawapa mimba wangapi baada ya ramadan kirahisi?
Mimi sio kidume cha mbegu na wala siwafuati wanawake ambao si halali yangu.Isipokuwa mimba nyingi kwa wake zangu nakisia zilianzia baada ya mfungo wa Ramadhani.
 
Lazima wapendeze maana muda huo huwa hawana presha ya kupigwa matukio wala kuletewa mke mwenza ghafla
 
Hata mahubiri yao ni ngono na maiti
Waislam hawahubiri,wanafundishana namna ya kutenda kwa mujibu wa dini,kuanzia kula,kunya,kuingiliana,swala,biashara,tawheed,ukifa wakusitiri vipi nk,hawakoromi Kama mbuzi kuhubiri na kutafuta misamiati mipya kila siku,Mara kibali Cha Mungu,makerubi..
 
Huo ni utoto tu kama mnaodanganywa kuwa mtafanya ngono na wanawake 70.

Hivi wanaowaelezaga mautopolo kama hayo huwa wamewaonaje kwanza? Maana yake ni maugolo kabisa.
Pepo ni kubwa sana.Muda ni wa milele.Hakuna kuumwa wala kufa.
Hata hao mabikra 70 ni wachache.Ukiwa mtu mwema duniani kwa mfumo wa kiislamu utapewa zaidi
 
Back
Top Bottom