brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
HAJI MANARA.
"Watanzania wameona kiwango cha Yanga
walichoonesha Tunisia ni kiwango cha hali ya juu
sana,kwa kiwango kile sioni sababu ya kufungwa
na Azam ambayo ni timu mbovu ambayo sisi
tumeifunga. Naiomba viongozi wote wa tff na kamat ya nidhamu wawepo uwanjani kesho (leo)
kuona mchezo mchafu wa Yanga. Tena
nakuhakikishia sisi Simba tutachukua video ya
mechi hiyo na ikitokea Yanga akafungwa..tuta
pelekea Fifa ichukuliwe hatua ya kushushwa
daraja. Tena wachague wenyewe kushinda wawe na amani au wafungwe washushwe daraja.
Nawaonya pia tumepata taarifa Tambwe,msuva,
na ngassa wapo fiti ni lazima wacheze...wasif
anye ujanja ujanja wowote na wala hashangiliwi
mtu".
"Watanzania wameona kiwango cha Yanga
walichoonesha Tunisia ni kiwango cha hali ya juu
sana,kwa kiwango kile sioni sababu ya kufungwa
na Azam ambayo ni timu mbovu ambayo sisi
tumeifunga. Naiomba viongozi wote wa tff na kamat ya nidhamu wawepo uwanjani kesho (leo)
kuona mchezo mchafu wa Yanga. Tena
nakuhakikishia sisi Simba tutachukua video ya
mechi hiyo na ikitokea Yanga akafungwa..tuta
pelekea Fifa ichukuliwe hatua ya kushushwa
daraja. Tena wachague wenyewe kushinda wawe na amani au wafungwe washushwe daraja.
Nawaonya pia tumepata taarifa Tambwe,msuva,
na ngassa wapo fiti ni lazima wacheze...wasif
anye ujanja ujanja wowote na wala hashangiliwi
mtu".