Msikieni MA HOLDER.............J WAKE LO
"Ukifungua gazeti la babkubwa toleo
jipya ,kurasa ya katikati
utakutana na kichwa cha habari
MASTAA Ambao shule imelala
kichwani, seriously kuna siku mdau
alinitumia comment maana mimi na
magazeti ni hasi na chanya,
kilichoandikwa ni ukweli mutupu
jamani khaaa sasa mtu mwenye MA
apigizane kelele na mashoroko
mageni aaaah wapiii??
though babkubwa mmejichanganya
sana maana mmeandika ndivyo sivyo
one n only CEO anayetambulika ana
MA International Relations and
Diplomacy naomba ieleweke hivyo,
sijui kwa wengine mliowaja kama ni
sawa ama ila me mmenimixia sana
na ma post graduate ya nini mieee?
CEO's
MA International Relations n
Diplomacy
BA Public Administration and
Management (kwa wale ambao mme
cram BA hamkawii kusema Business
Admin khaaaa ni Bachelor of Arts in
PAM muelewe sasa.
hope tumeelewana ila sivibaya
nikawataja na wenzangu ambao tuna
hadhi ya kipekee (sio mchezo,,
sonyaa, kwanini ilikushinda kama ni
rahisi?? ukipata jibu utakuwa
umenielewa chezeyaa kufanya
research weweee)
Mwegelo Jokate
Black Rhino
Dj Fetty
Nikki wa Pili
Hamisi Mwinjuma
Ally Remtullah
na mwenyewe CEO wa ukweeeh
UJUMBE
unaweza ukawa kama hao hapo juu
ila acha majungu, umbea, fitina,
hela unazozipata kama ni
mwanadada usijipeleke kununua
lace wig, sijui Galaxy zichange
mdogo mdogo ujitupe kile chuo
kinaitwa V*** fasta .
The roots of education are bitter,
but the fruit is sweet.
okay byeeee..
Swaum Maqbul" Sintah