Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Hahah aisee,stress zinaua.Wanufaika tuko wengi sana, nalushangaa hunaweka kikwazo cha kuto appreciate kazi yake,ni kwakuwa umekosa hata mbs za kuzipakua basi roho inakuhuma sana, wewe unahisi nawasiliana nae hapa tu, sifanyi vitu kwa kuwafurahisha watu nafanya kwa interest zangu, pia acha shobo sana we mtoto wa kiume
Sasa kati ya mimi na wewe nani ana stress hujui hata maudhui ya hizo mix umekosa hata mbs za kuzipakua halafu unachafua hata hali ya hewa humu, kama ungekua umezipakua ungeshatuma chochote pia kuwa mstari wa mbele aisieh fanya hivyo we inakuhuma nini, halafu nani amekuambia maneno hayamtii moyo au wewe ni bahasha wake alikuambia ana shida sana mpaka umpigie kampeni, tulia basi umejiunga juzi jf unaanza kubwabwaja kamasi nyingi mpaka kidevuniHahah aisee,stress zinaua.
Mchangie msela chochote aendelee kuwashushia vitu,asante asante ashapewa nyingi sana hazimsidii tena
Hahah bro umeshamtumia chochote au bado unalia lia?Sasa kati ya mimi na wewe nani ana stress hujui hata maudhui ya hizo mix umekosa hata mbs za kuzipakua halafu unachafua hata hali ya hewa humu, kama ungekua umezipakua ungeshatuma chochote pia kuwa mstari wa mbele aisieh fanya hivyo we inakuhuma nini, halafu nani amekuambia maneno hayamtii moyo au wewe ni bahasha wake alikuambia ana shida sana mpaka umpigie kampeni, tulia basi umejiunga juzi jf unaanza kubwabwaja kamasi nyingi mpaka kidevuni
Nitamtumia nikijisikia ila sio kwa shuruti wala kwa kuambiwa ni hiari yangu jifunze kutovuka mipaka, usiingilie uhuru wa mtu kaa kwenye mipaka yako na ujifunze kuheshimu hiloHahah bro umeshamtumia chochote au bado unalia lia?
Ndio mumtumie Arifu,mpeni motivation kijana.Nitamtumia nikijisikia ila sio kwa shuruti wala kwa kuambiwa ni hiari yangu jifunze kutovuka mipaka, usiingilie uhuru wa mtu kaa kwenye mipaka yako na ujifunze kuheshimu hilo
Hahahaha..poa mkuuHivi unajua ya bedroom sikuwahi isikiliza niliona niisikilize leo ndiyo nikajua nilikurupuka kutoicheza ni hizo songs ni za moto mno, tena nyimbo nyingi ni za 2000-2011 upo vyema
Club bangers vol ngap mkuu maana zipo nyingi humuSafi sana mkuu... Zile ngoma za club bangers ni balaa.. hasa zIle ngoma nne za mwanzo maana bit zinaendana... Je unaweza kuedit na kuweka ngoma zinazoendana biti na zile nne za mwanzo? Fanya mixing hata na za ulaya, america n.k... maana nazihitaji sana.. Nitashukuru sana..
Saiv wanatufundisha matusi mapyaKazi nzuri kiongozi,keep it up.
Nakumbuka enzi hizo tunapiga ngoma za kina backstreet boys, westlife, celine dion, mariah carey, whitney houston,dah hatariiiii.
Mziki wa zamani ulikuwa na hisia tofauti sana na wasasa.
Hahaha poaKijukuu - Young Dee
Mimi - Geezy Mabovu
Fid Q. Com - Fid Q
Nnaposimama - Langa ft Chid Benz
Zamu yangu - Joh Makini
Hawatuwezi - Nako 2 Nako
Bado nipo nipo - Mwana Fa
Habari ndiyo hiyo - Ay/ Fa
Hapo sawa - Prof Jay
Wanashangaa - Jcb ft Jay moe
Style tatu - Stoper wa Rhymes
Umoja ni nguvu - Kalapina
Rafiki wa kweli - Langa
Nyakati za mashaka - Nikki Mbishi
Zima - Nash Mc
13 - Young killer ft Fid Q
Soga za Mzawa - One Incredible
Kimbia - Babuu wa kitaa
Mtaa kwa mtaa remix - Country Boy
Hasi 15 - Nash Mc
Songa - Usiku
Mia - Solo Thang
X - King Zilla
Nimekasirika - Nyandu Tozzy
Mstari wa mbele - Kalapina
Power - Nikki Mbishi, Mkoloni, Mansu Lee
Nasema nao - Nay wa Mitego
Dar es salaam stand up - Chid Benz
Ziro - Whitness Ft Fid Q
Nawakilisha - Chiku K
Una feel aje - Pink
Professional - Fid Q
Sugu - Rayvanny
Mkuu hebu fanyia kazi hii list hutakosa ya soda.
Vol. 1 mkuu.. kwani zipo hadi vol. Ngapi? Maana zingine sijaziona.... Ila hiyo vol. 1 ifanyie mchakato kama nilivyokuomba... Asante.Club bangers vol ngap mkuu maana zipo nyingi humu
Mkuu naweza kukupata wapi nikupe mixing zangu nazohitaji make mi nataka sweat raggae na hip hop za kitambo kizazi cha akina Queen Latifa kuja juu kwa flash lakini.
Nimeanza kuzisort hii playlist yako nahis kesho itakuwa poa..nilikuwa najaribu mitambo hapaKijukuu - Young Dee
Mimi - Geezy Mabovu
Fid Q. Com - Fid Q
Nnaposimama - Langa ft Chid Benz
Zamu yangu - Joh Makini
Hawatuwezi - Nako 2 Nako
Bado nipo nipo - Mwana Fa
Habari ndiyo hiyo - Ay/ Fa
Hapo sawa - Prof Jay
Wanashangaa - Jcb ft Jay moe
Style tatu - Stoper wa Rhymes
Umoja ni nguvu - Kalapina
Rafiki wa kweli - Langa
Nyakati za mashaka - Nikki Mbishi
Zima - Nash Mc
13 - Young killer ft Fid Q
Soga za Mzawa - One Incredible
Kimbia - Babuu wa kitaa
Mtaa kwa mtaa remix - Country Boy
Hasi 15 - Nash Mc
Songa - Usiku
Mia - Solo Thang
X - King Zilla
Nimekasirika - Nyandu Tozzy
Mstari wa mbele - Kalapina
Power - Nikki Mbishi, Mkoloni, Mansu Lee
Nasema nao - Nay wa Mitego
Dar es salaam stand up - Chid Benz
Ziro - Whitness Ft Fid Q
Nawakilisha - Chiku K
Una feel aje - Pink
Professional - Fid Q
Sugu - Rayvanny
Mkuu hebu fanyia kazi hii list hutakosa ya soda.
We kweli mkongwe tukacheze golf [emoji466], ila vaa barakoa [emoji38][emoji38][emoji38]Kama kuna watu wanawafahamu
Ll cool j
Mya
Tyrese
Naught by nature
Jarule
Lil kim
B2k
Da brat
Sisqo
2pac
Coolio
Nas
Krs
Miss eliot
Aaliyah
Tlc
N.k
Mjiandaee kwa fuckin oldskool hiphop