mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
BabaMorgan Shadow Work @promemusJiandaeni kwa new mixtape soon nikipata mb
Kuna jay melody
Barnaba
Marioo
Mind
Alikiba
Kusah
Na wengine kibao nyimbo zilizotoka agost hii
mzigo umeshakamilika bado ku upload tu yan..ina saa 1.37BabaMorgan Shadow Work @promemus
KING KIGODA
Hatuwezi kufanya jambo la bando tupate mzigo huo kutoka kwa Dj wetu
Bro Anza wewe kwanza mi Kuna mchongo nausikilizia ukikaa sawa narekebisha Dj wetu anafanya kazi kubwa sana.BabaMorgan Shadow Work @promemus
KING KIGODA
Hatuwezi kufanya jambo la bando tupate mzigo huo kutoka kwa Dj wetu
Mbona Watu wa mix za singeli kama tumetengwa kinamna Fulani...Mzigo huoo..
Singer new mix DjwakunyataTz vs Dvj nasmiletzMbona Watu wa mix za singeli kama tumetengwa kinamna Fulani...
niliziweka humuSinger new mix DjwakunyataTz vs Dvj nasmiletz
niliziweka humuSinger new mix DjwakunyataTz vs Dvj nasmiletz
Kama ni playlist yako ni tsh 3000 tu...muda ni saa 1.20dkMkuu mambo vp,nahitaji ngumu za zamani kidogo,2pac nyimbo zake zote na wengineo
Ok,ntakutafuta,alaf unapatikana dar auKama ni playlist yako ni tsh 3000 tu...muda ni saa 1.20dk
Ila kama ni playlist yngu ni free...
Namaanisha ukitaka nimix nyimbo ambazo utanitajia ww zisikosekane..ni tsh 3000
Lakini nikimix nyimbo ninazojua mimi...ni bure mkuu
Mfano naweza nikamix playlist ina nyimbo DEAR MAMA......
Kumbe wewe Unaipenda CALFONIA LOVE...
0627474141