dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
-
- #101
Mkuu weka na west kule Ghana na NigeriaMjiandae kwa ajili ya rhumba,soukos ,zouk,
Then south african sngs
Kwaito
Pop
Funk
Flashback
Sebene
Regge
Dancehall
House
Country
Hahaha..umeona eeh..kama kuna cha kunishauri ruksa..mkuuBig up sana now nakula vyombo nyumbani sio mpaka niende bar
Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
Shukrani
nisharekebisha.Mix ya bongo fleva kitambo vol 2
nishaweka mkuu angalia post za chiniSafi sana Mkuu!
1. Weka R&B za 80's-90s zile za Chombeza
2.Weka pia Bongo Fleva za kuanzia 90s mpaka 2003.
nishaarekebisha mkuuMkali nikifungua link naambiwa sina permission....Nifanyaje
Private Track
We're sorry, but you have no rights to hear this track.
Nakzia hapo kwenye bongofleva za kuanzia 90s - 2006Safi sana Mkuu!
1. Weka R&B za 80's-90s zile za Chombeza
2.Weka pia Bongo Fleva za kuanzia 90s mpaka 2003.
Poa poa.ngoja niziandaeNakzia hapo kwenye bongofleva za kuanzia 90s - 2006
nishaweka mkuu angalia post za chini
Sawa mkuu.asanteMkuu safi kazi iko poa.
Ila haya mavionjo punguza[emoji38]
Ukitaja jina lako tu inatosha
Poa poaThanks mkuu nitasikiliza nikifika ghetto kwasasa nipo porini.
Tupangie na groove back kama za yule Peter Moe wa clouds fm.Sawa mkuu.asante
Nitajitahid japo huku nilipo nipo na pc ambayo haina ngoma nyingi kivile..ndo maana natumia tu uwezo binafsi... Mashine yangu ya kaz nimeacha home songeaTupangie na groove back kama za yule Peter Moe wa clouds fm.
Pamoja mkuuLabda nizi upload tena..ngoja nitakutag zikiwa tayari