dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
- #61
Itakuwa njema sanaMods huu Uzi uwekeeni Pin tupate ladha murua za kitanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa njema sanaMods huu Uzi uwekeeni Pin tupate ladha murua za kitanzania
Dj mmoja wa kikenya anamixing nyingi sana za reggae.Easy yupi
Nitamfatilia..ila hata hivyo hiyo nilifanya demi tu.pc niliyotumia haikuwa na nyimbo nyingDj mmoja wa kikenya anamixing nyingi sana za reggae.
Sawa mkuuPlease fanya mix ya ngoma za 2009-2011 bongo Old-school.
Hapo kuna ngoma nyingi kali sana
Mkuu samahani sana, ujue hili jina lako nimekua nikilisikia miaka kadhaa ktk redio flani hivi, je ndo wewe Mkuu?Nitamfatilia..ila hata hivyo hiyo nilifanya demi tu.pc niliyotumia haikuwa na nyimbo nying
Then mcheck youtube! Wapo wengi... Dj easy, Dj lyta, Dj Kalonje, Dj kanji etc etc.. Madj wabongo mpo wachache sana wenye kazi YouTube!Dj mmoja wa kikenya anamixing nyingi sana za reggae.
Nakuandalia list ya old bongo flavor na reggae za kizazi kipya. Hope watu wataenjoy mixing zako.Nitamfatilia..ila hata hivyo hiyo nilifanya demi tu.pc niliyotumia haikuwa na nyimbo nying
Dj Kanji kazi zake zimesimama imaraThen mcheck youtube! Wapo wengi... Dj easy, Dj lyta, Dj Kalonje, Dj kanji etc etc.. Madj wabongo mpo wachache sana wenye kazi YouTube!
Inawezekana ..Nishafanya kaz Ruvuma fm? Ila niliacha kwa sasa ni dj wa clubs na matamasha..sijajua wewe unaongelea radio ganiMkuu samahani sana, ujue hili jina lako nimekua nikilisikia miaka kadhaa ktk redio flani hivi, je ndo wewe Mkuu?
Nashukuru bro..hiyo mix pia ni ya video niliiconvert kuwa mp3 ili iwe rahis kuiweka mtandaon..coz video ina mb870 sasa kuipload ni shidaMadj wa kenya wapo vizuri sana huchoki kusikiliza mixing zao na wapo very updated sana na skillz za kutosha...Nilianza kuwafahamu Kipindi kile Star Tv wanarusha kipindi cha Supremacy sound ambacho kilikua kinapiga nyimbo za Reggae na Riddims na Dj alikuwa ni Simple simon Mara ya kwanza nilidhani ni jamaa wa Jamaica kwa jins anavozipatia Reggae n Riddims ...Ikabid nimtafute youtube ndipo nikagundua ni mkenya toka siku hiyo nimekuwa mpenz wa mixing za madj wa kenya eg.Dj Kanji,Dj lyta,Dj ken b,Dj Shinski
Mdogo mdogo nadhan na sie madj wetu watafikia viwango vya Madj wa kenya...Nashauri madj wetu wajitahid kuwa na collection ya nyimbo na videos zenye high quality (320kbps),Watumie mixing softwares za kisasa eg.Serato au Sony vegas,Pia wasiwe wavivu kujifunza skills mpya toka kwa pro Djs wenzao...Dj nasmiles nakutakia mafanikio mema nipo hapa nasikiliza gospel mixing yako 🙂
Youtube kuna kitu kinanitatiza..nikiupload video mix inakaa dk 5 then wanablock na kusema mambo ya copyright sijuiDj Kanji kazi zake zimesimama imara
Nashukuru mkuu..kwenye mapungufu tuelekezane bosiNdo nangusha apa ngoja nikute bokoView attachment 1699995
Usijari kiongozMkuu nimesikiliza hizi kazi umetupia humu, uko vizuri sana, keep it up! Usisahau zile rhumba sisi vijana wa zamani tuliomba!
Mkuu nimesubiria sana hii mixing ila naona kimyaRnb playlist zipo tayari nishazi sort kwenye folder maalum..bado kuzimix tu..kesho jion itakuwa hapa
Mkuu nimesubiria sana hii mixing ila naona kimya
Mkuu kuna shida kidogo ya umeme..haujatulia nikianza kumix dk 10 tu unakat then unarud tena..ukitulia tu nakamilishaMkuu nimesubiria sana hii mixing ila naona kimya