Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu.nimeupokea ushaur kwa mikono miwili..utafurahiKule kenya Kuna DJs mixing nzuri Sana na ni shabiki mkubwa wa zile kazi. Hadi nikawa najiuliza wabongo tunakosea wapi.
Ila huyu DJ nimemkubali. Nakuomba Tena Nyimbo za Dini ambazo ziko emotional acha kuweka mbwembwe za Disco. Tafuta mbwembe ambazo ziko emotional pia.
Watu tunahitaji nyimbo za kutufariji enzi hizi za vyuma kukaza.
Rnb playlist zipo tayari nishazi sort kwenye folder maalum..bado kuzimix tu..kesho jion itakuwa hapaSafi sana Mkuu!
1. Weka R&B za 80's-90s zile za Chombeza
2.Weka pia Bongo Fleva za kuanzia 90s mpaka 2003.
AsanteSafi sana
Rnb playlist zipo tayari nishazi sort kwenye folder maalum..bado kuzimix tu..kesho jion itakuwa hapa
Mariah careSawa nasubiri Oldies R&B nimezimiss sana ,Aboubakar Sadiq kwa fujo alikuwa anazigonga sana enzi ya chombeza.
Pia Oldies za 2003 kushuka chini za Bongo fleva kama unamjua DJ JD anaweza akakupa mapini ya zamani.
Nashukuru mkuu...hizi id bhana..Safi sana Nas
Umetisha chalii wa kwangu
Yes Mkuu Old Timers!!Mariah care
Aaliyah
Ll Cool j
ashanti
mel c
usher
phaller
sisqo
Kama hao jamaa au?
Basi hamna shida bosiYes Mkuu Old Timers!!
Hapo kwenye bongo fleva za kale anicheki kama atakua ana uhaba nazo.Safi sana Mkuu!
1. Weka R&B za 80's-90s zile za Chombeza
2.Weka pia Bongo Fleva za kuanzia 90s mpaka 2003.
Gatho bevens - azalaki awa
Oliver ngoma - muetse
Sweet Africa meddley vocal
Marijani rajabu -mwanameka
Marijani rajabu - mayasa
Dr remmy - mariamu
Pasada -amar
Awilo longomba -carolina
Kanda bongo man -wallow
Tshala muana- dezo dezo
Bozi boziana -jeu muke
Diblo dibala -matchatcha
Extra musica -Etamajo
Franco - lisanga ya banganga
Kanda bongoman -isambe
Kofi olomide -loi
Oliver ngoma- Lina
Madilu system -nzele
Madilu system- virce versa
Marijani- dunia uwanja wa fujo
Mbilia bel -nadina,napika,wendenda,beyanga
Nyboma- Nina
Nyboma- amour pendu
Oliver ngoma icole
Sam mangwana -transberos
Cc Prisonerx ,Azarel ,joseph1989
Kichwa Kichafu ,Mbwa dume na wengine wote
Hapo kwenye bongo fleva za kale anicheki kama atakua ana uhaba nazo.