Nazitafuta zile sweet reggae kama nice nice to know you lets do it again [emoji3]Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudonloqd nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali
Haya naanza na hii. Inanyimbo mpya za 2021 tupu hiphop and afropop bongoflava
Dvj Nasmiletz- PainsKiller mix jan 2021
Kitufe cha kupakua kipo wapi djSaa 1.40
Nyimbo za dini(gospal nonstop)
Hii hapa
Angalia kuna kama kimshale kinaelekea chini hivi..hakijaandikwa chochoteKitufe cha kupakua kipo wapi dj
Ungeweza irudia hii bila madoido mengi na scratching nyingii ingependeza sana mkuu, nyimbo za dini zina na test zake ukichanganya na makelele unaweza ukapoteza hamu kusikilizaSaa 1.40
Nyimbo za dini(gospal nonstop)
Hii hapa
Hata mimi hii nitaifurahia huwa nazifuata YouTube za kina jarule, sisqo, r. Kelly, destiny child, nelly dilemma na nyingine nyingi hebu atuweke hii kituSafi sana Mkuu!
1. Weka R&B za 80's-90s zile za Chombeza
2.Weka pia Bongo Fleva za kuanzia 90s mpaka 2003.
HahahahaMuweke list ya nyimbo ili ajue mithili gani lakini sio kumdissapoint hawezi kujua kila kitu sawa jiwe
Ipo humu nishaiweka angalia post zoteHata mimi hii nitaifurahia huwa nazifuata YouTube za kina jarule, sisqo, r. Kelly, destiny child, nelly dilemma na nyingine nyingi hebu atuweke hii kitu
Wewe ni kama mimi hizo ndiyo miondoko yangu sio hizi bongo fleva za sahivi hazina maadali, nilikua namkubaligi sana bushoke nyimbo zake wakina bananazoro, wakina mandojo dah kitambo sanaNazipenda sana bongo fleva za zamani 90s-2003.
2009 ni old hahahahaaPlease fanya mix ya ngoma za 2009-2011 bongo Old-school.
Hapo kuna ngoma nyingi kali sana
Taja majina niwacheki YouTubeMadj wa kenya wapo vizuri sana huchoki kusikiliza mixing zao na wapo very updated sana na skillz za kutosha...Nilianza kuwafahamu Kipindi kile Star Tv wanarusha kipindi cha Supremacy sound ambacho kilikua kinapiga nyimbo za Reggae na Riddims na Dj alikuwa ni Simple simon Mara ya kwanza nilidhani ni jamaa wa Jamaica kwa jins anavozipatia Reggae n Riddims ...Ikabid nimtafute youtube ndipo nikagundua ni mkenya toka siku hiyo nimekuwa mpenz wa mixing za madj wa kenya eg.Dj Kanji,Dj lyta,Dj ken b,Dj Shinski
Mdogo mdogo nadhan na sie madj wetu watafikia viwango vya Madj wa kenya...Nashauri madj wetu wajitahid kuwa na collection ya nyimbo na videos zenye high quality (320kbps),Watumie mixing softwares za kisasa eg.Serato au Sony vegas,Pia wasiwe wavivu kujifunza skills mpya toka kwa pro Djs wenzao...Dj nasmiles nakutakia mafanikio mema nipo hapa nasikiliza gospel mixing yako 🙂
Weng wameilalamikia hizo mbwembwe nikahaid vol 2 nitatoa hizo fujoUngeweza irudia hii bila madoido mengi na scratching nyingii ingependeza sana mkuu, nyimbo za dini zina na test zake ukichanganya na makelele unaweza ukapoteza hamu kusikiliza
Hii nimeilewa [emoji91][emoji91]TUNAENDELEA WADAU.....
mixing kali ya usiku hii hapa
Safi...sehemu ya kuzishusha mbona kinanisumbua kuna kimshale kinaangalia kwa chiniRnb kali za miaka ya 90-2000s hiv
Zile nelly-dilema na kama hizo
Ndio..kimeangalia chini..nashindwa kuscreen shot hapaSafi...sehemu ya kuzishusha mbona kinanisumbua kuna kimshale kinaangalia kwa chini
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Unachokosa bar ni kimoja tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Big up sana now nakula vyombo nyumbani sio mpaka niende bar
Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
Weka hapa tumfukue YouTubeUnaweka mbwembwe nyingi. sana ambazo hazina maana..
Bado sana, angalia mixings za wenzako utajifunza mengi, kuna mixing ninayo ya oldies za 1980s and 90s yule Dj anajua sana, nikicheki jina lake ntakupatia
Ahsante sana mkuuWeng wameilalamikia hizo mbwembwe nikahaid vol 2 nitatoa hizo fujo
Sawa mkuu, unazipost kwenye site gani na kuna faida uniapata huko unapoziweka!? maana ungepata manufaa kama unazipost sehemu utakapo lipwa kwa view, na wadau humu tumekukubali na tutakupa supportNdio..kimeangalia chini..nashindwa kuscreen shot hapa
Hivi unaweza jua dj application iliyo nzuri playstore maaana zipo nyingiiii nashindwa kuchaguaNdio..kimeangalia chini..nashindwa kuscreen shot hapa