Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudonloqd nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali

Haya naanza na hii. Inanyimbo mpya za 2021 tupu hiphop and afropop bongoflava

Dvj Nasmiletz- PainsKiller mix jan 2021
Nazitafuta zile sweet reggae kama nice nice to know you lets do it again [emoji3]
 
Hata mimi hii nitaifurahia huwa nazifuata YouTube za kina jarule, sisqo, r. Kelly, destiny child, nelly dilemma na nyingine nyingi hebu atuweke hii kitu
Ipo humu nishaiweka angalia post zote
 
Madj wa kenya wapo vizuri sana huchoki kusikiliza mixing zao na wapo very updated sana na skillz za kutosha...Nilianza kuwafahamu Kipindi kile Star Tv wanarusha kipindi cha Supremacy sound ambacho kilikua kinapiga nyimbo za Reggae na Riddims na Dj alikuwa ni Simple simon Mara ya kwanza nilidhani ni jamaa wa Jamaica kwa jins anavozipatia Reggae n Riddims ...Ikabid nimtafute youtube ndipo nikagundua ni mkenya toka siku hiyo nimekuwa mpenz wa mixing za madj wa kenya eg.Dj Kanji,Dj lyta,Dj ken b,Dj Shinski

Mdogo mdogo nadhan na sie madj wetu watafikia viwango vya Madj wa kenya...Nashauri madj wetu wajitahid kuwa na collection ya nyimbo na videos zenye high quality (320kbps),Watumie mixing softwares za kisasa eg.Serato au Sony vegas,Pia wasiwe wavivu kujifunza skills mpya toka kwa pro Djs wenzao...Dj nasmiles nakutakia mafanikio mema nipo hapa nasikiliza gospel mixing yako 🙂
Taja majina niwacheki YouTube
 
Ungeweza irudia hii bila madoido mengi na scratching nyingii ingependeza sana mkuu, nyimbo za dini zina na test zake ukichanganya na makelele unaweza ukapoteza hamu kusikiliza
Weng wameilalamikia hizo mbwembwe nikahaid vol 2 nitatoa hizo fujo
 
Unaweka mbwembwe nyingi. sana ambazo hazina maana..

Bado sana, angalia mixings za wenzako utajifunza mengi, kuna mixing ninayo ya oldies za 1980s and 90s yule Dj anajua sana, nikicheki jina lake ntakupatia
Weka hapa tumfukue YouTube
 
Ndio..kimeangalia chini..nashindwa kuscreen shot hapa
Sawa mkuu, unazipost kwenye site gani na kuna faida uniapata huko unapoziweka!? maana ungepata manufaa kama unazipost sehemu utakapo lipwa kwa view, na wadau humu tumekukubali na tutakupa support
 
Back
Top Bottom