Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

playlist hadi zuchu yupo...

nyimbo za mapenzi zenye mambo ya kishenzi siziwezi...ZIMAAA

1613502266930.png


niwekee playlist za kigumu kina makanta, nikki mbishi nije ni stream
 
Mkuu ulevi wangu ni music, kipindi tukiwa primary na o level sisi ndio tulikuwa tunakausha battery za radio za wazee, mzee kairud battery chini kabisa wakat kanunua mwenyewe National mpyaa anaondoka kwenda mizunguko yake.


Nipende kusema tu nashukuru kwa huu uhondo hapa, na endelea kutupa updates zaidi, maana shida ya maDj wa bongo ni kuvimba sijui vile vyombo huwapaga nini akilin mwao, ww naona uko cooperatives.


Ila hili la Dj kuvimba toka disco vumbi kijijin kule, unae da disco huna 50 ya kiingilio halafu mwana ndio Dj, ile anakatiza unamuita alikuwa anakukaushia, pili videmu vyote vikali ndo ananesa nesa navyo,

Anyway nimechomekea kidogo

Nitakutafutia nataka jingle za ka pub kama unaweza zitengeneza
 
Mkuu ulevi wangu ni music, kipindi tukiwa primary na o level sisi ndio tulikuwa tunakausha battery za radio za wazee, mzee kairud battery chini kabisa wakat kanunua mwenyewe National mpyaa anaondoka kwenda mizunguko yake.


Nipende kusema tu nashukuru kwa huu uhondo hapa, na endelea kutupa updates zaidi, maana shida ya maDj wa bongo ni kuvimba sijui vile vyombo huwapaga nini akilin mwao, ww naona uko cooperatives.


Ila hili la Dj kuvimba toka disco vumbi kijijin kule, unae da disco huna 50 ya kiingilio halafu mwana ndio Dj, ile anakatiza unamuita alikuwa anakukaushia, pili videmu vyote vikali ndo ananesa nesa navyo,

Anyway nimechomekea kidogo

Nitakutafutia nataka jingle za ka pub kama unaweza zitengeneza
Yaann iko hivo mzee..ila sio wote wanavimba..japo %kubwa wanajiona ni almas hatari..tunavimbiana mpaka wenyewe kwa wenyewe hahaha..

Jingle naweza kufanya pia coz nk producer wa muziki pia..japo studio za uchochoroni...
 
Mwanangu kwenye kumix nyimbo bado, maana nyimbo zenye BPM tofauti unataka unataka kuzisync pamoja......

Afu kwenye kutengeneza mixing playlist huwezi nyimbo ikaanzia INTRO mpaka inakaribia kuisha ndo unabadilisha..
 
Mwanangu kwenye kumix nyimbo bado, maana nyimbo zenye BPM tofauti unataka unataka kuzisync pamoja......

Afu kwenye kutengeneza mixing playlist huwezi nyimbo ikaanzia INTRO mpaka inakaribia kuisha ndo unabadilisha..
Kuhusu bpm sio kweli..bpm zinaendana coz huwa nazisort before sjaanza mix..kama zipo ni chache sana..mfano hebu nitajie ni nyimbo gani hazijaendana bpm?.

Na kuhusu kumix sijafanya cutting kwa sababu kuna mdau juu alishauri hivo.watu wanapenda wasikie wimbo karibia wote sio kama vile unapiga radio kukimbizana na muda..

napiga wimbo angalau mpka chorus ya mwisho ndo nahama..sio kwamba siwez kufanya cut mix..mkuu

Nb.hii nimejitolea kwa ajili ya wadau humu.sio club,radio au nimekodiwa na mtu
 
Back
Top Bottom