KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Ulipotea sana ndugu.
N
nam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N
nam
Kali zote za Bongo,ila za kenya usiweke,na piano zote kali kandamizanataka niachie mix ya kufungia mwaka...nipeni ngoma ambazo zisikosekane
Tutengenezee yenye ngoma za kitambo Band za hapa bongo mfano natoa taraka , au ajali za design hiyo mkuunataka niachie mix ya kufungia mwaka...nipeni ngoma ambazo zisikosekane
poa mkuu.unamaanisha ddc,msondo..les wanyika,maquis? Kama hzoTutengenezee yenye ngoma za kitambo Band za hapa bongo mfano natoa taraka , au ajali za design hiyo mkuu
Hizo hizo mkuu , tuchekiepoa mkuu.unamaanisha ddc,msondo..les wanyika,maquis? Kama hzo
Oya hii ngoma ukiitengeneza nistue mkuu hii utapata hata vochapoa mkuu.unamaanisha ddc,msondo..les wanyika,maquis? Kama hzo
mpka nimezikalili mwanangu leo nimeingia kupakua zingine hapaNina vyuma vyako hapa na vi enjoy..
View attachment 3022939
Ulizoweka leo mbona nadhindwa download masta.
Kaweka nyingine?mpka nimezikalili mwanangu leo nimeingia kupakua zingine hapa
Nitashare kwa wanangu.karibuni
vile vile kama unahitaji mixing maalum basi unanipa list ya ngoma unazohitaaji nami nazimix kwa gharama ya tsh 4000/= tu kwa mixing ya saa moja na nusu (90minutes) namba ya mawasiliano njoo pm au nichek 0627474141 .pia unaweza kunikodi kuja kupiga muzik katika shughuli yako.au eneo lako la biashara kama vile,club,bar,party tamasha na mengineyo.. n.k
Mixing zimenyooka mkuu. Hongera.Angalia vizuri kuna batani imewekewa kialama cha mshale unaotazama chini hivi...haijaandikwa download kipo kialama tu cha mshale mkuu
Sehemu ya kukumbukia miaka michache nyuma inaburudisha kwakweli.Hapa ndio penyewe
Sana mkuuSehemu ya kukumbukia miaka michache nyuma inaburudisha kwakweli.