Technology imekuwa sana na mimi napenda kuchunguza vitu vinavyohusiana nayo.
Hizo nyimbo nilizopaste hapa nimezitengeneza kwa kutumia AI tupu kuanzia lyrics, beat, na vocals
Lyrics zimeandikwa na chat gpt ambapo ninaipatia prompt ya topic, na mistari iwe na urefu gani, chorus ihusishe nini.
Kisha beat na vocals ni suno AI, ambapo unaipatia lyrics, unachagua unataka female au male, aina ya mziki, chorus unaweza sema iimbweje, au ukaiambia verse flani jamaa achane.
huu hapa ndiyo wa Rise Tanzania:
Your browser is not able to display this video.
Hizi ni EDM tu nazo nimezitengeneza kwa style ile ile.
Yes nakubaliana na wewe ndiyo maana mpaka leo picha za kuchora ni expensive kuliko za kuzalisha kwa programs na kuprint lakini ulishawahi kujiulizaa kuwa teknolojia inaharibu vitu. Ndiyo maana siku hizi DAW zimefanya production ya mziki imekuwa rahisi kiasi kwamba mtu na pc tu anatengeneza hit song bila kupiga kifaa chochote halisi.
Yes nakubaliana na wewe ndiyo maana mpaka leo picha za kuchora ni expensive kuliko za kuzalisha kwa programs na kuprint lakini ulishawahi kujiulizaa kuwa teknolojia inaharibu vitu. Ndiyo maana siku hizi DAW zimefanya production ya mziki imekuwa rahisi kiasi kwamba mtu na pc tu anatengeneza hit song bila kupiga kifaa chochote halisi.
Nikweli boss ila Marekani soko la mziki linapumulia ICU baada ya michezo ya AI kuwa mingi
Wimbo unatoka leo baada ya mwezi haupo
Lakini kipaji cha asili unadumu hasa watu wakigundua ni OG mfano Bobby Marley
Tatizo lako unabaka maneno, kijana aliyefanya hii kazi tumempongeza kila mmoja wetu hapa nilichokua nasemea ni huyu mdudu AI na sio kijana wetu kwa kazi aliyofanya
Tatizo lako unabaka maneno, kijana aliyefanya hii kazi tumempongeza kila mmoja wetu hapa nilichokua nasemea ni huyu mdudu AI na sio kijana wetu kwa kazi aliyofanya