Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 538
- 246
Ninaplan ya kuanza kujirecord nikisimulia hadithi au matukio. Hii audio hapa nilikuwa natest tu nione ninavyosikika. Nimeamua kushare na nyinyi mnichane nafaa ?? Niongeze nini??? Nipunguzie nini????
Note: NIMERECORD KWA SIMU, na EDITING ni simu pia.
Note: NIMERECORD KWA SIMU, na EDITING ni simu pia.