Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Wakuu pole na mihangaiko, nimekuwa nkisumbuliwa na sikio kuziba yaani kushindwa kusikia vizuri.
Marakwamara nilikuwa naenda Kairuki hospital na kukutana na specialist, na walikuwa wananitibu kwa dakika tano tu, kuna kitu walikuwa wanaingiza yaani unatoka uchafu balaa(waxy) baada ya apo nakuwa vizuri.
Wakuu nilikuwa natumia Bima ila sahivi imeisha muda wake, naomba mnisaidie dawa au kitu chochote kinachotibu nta yaani sikio kuziba, lakini ni hospital gani mbali na kairuki wanasafisha vizuri masikio kwa gharama nafuu.
Doctors please msaada
Marakwamara nilikuwa naenda Kairuki hospital na kukutana na specialist, na walikuwa wananitibu kwa dakika tano tu, kuna kitu walikuwa wanaingiza yaani unatoka uchafu balaa(waxy) baada ya apo nakuwa vizuri.
Wakuu nilikuwa natumia Bima ila sahivi imeisha muda wake, naomba mnisaidie dawa au kitu chochote kinachotibu nta yaani sikio kuziba, lakini ni hospital gani mbali na kairuki wanasafisha vizuri masikio kwa gharama nafuu.
Doctors please msaada