Sikio la kufa la wasanii wetu

ishu si tu meneja ni kutumia tu akili utvaaje nguo za ovyo ovyo kwenye video yako?

Nguo za ovyo ovyo ni zipi??? Usije na wewe ukawa ni mshamba usiyejijua!!!
 

Diamond pamoja na kazi nzuri anayofanya ila ana tatizo moja kubwa sana kwenye show zake...hawezi kucontrol sauti anapotumbuiza...anacheza vizuri ila anasahau kitu muhimu sana kwa mwanamziki anapokuwa stejini yani kuimba vizuri...Yani unakuta show nzima anacheza tu tena kwa style ile ile na sarakasi kibao ila anashindwa kabisa kuimba anawapa ilo jukumu washabiki matokeo yake wanaboreka sana..anaitaji mtaalamu wa sauti maana zile tyimbe wote zinamwangusha sana,ni bahati sana kama unataka kumuona diamond akiimba live atakuangusha sana. hautakaa usikikie akiimba wimbio mzima vizuri mpk akaumaliza never.
 
Diamond atapita, akija mwingine kizazi chetu tumekuwa vibabu
 

Akifuata hili litamsaidia
 

:thumbup:
 
miee zile sketii za diamond yaan nikizichekigii mie hoiii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…