Sikio la mtoto linavuja damu

Sikio la mtoto linavuja damu

zamlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
3,840
Reaction score
659
WanaJF,

Naombeni kufahamu au kuelekezwa nitakapo mpeleka Mtoto wangu Kwa ajili ya matibabu ya sikio kwa sababu nina watoto mapacha wa kike na kiume.

Kilichofanyika wa kiume kachukua kijiti na kumuingizia mwenzake eti anamtoa uchafu ndipo alipimchoma na damu kuanza kutoka.

Nimerudi usiku huu nimemchungulia na mwanga Mkali nikaona ule utandu mweupe umetoboka natakiwa kumpeleka hospital .

Je kama kuna wataalamu humu wa masikio au kuna hospital nzuri nipeni msaada wenu niweze kufika niko dar naishi Tegeta.
 
Pole sana aisee, muwaishe IMTU atapatiwa msaada wa kwanza, nadhani atakuwa ametoboka ngoma.
 
daaa aisee pole sana mkuu.
nazani naungana na mdau aliye shauri kuwa umpeleke hapo IMTU nazani kwa maeneo unayotoka wewe hapo panafaa sana na ni karibu mpeleke kwanza hapo then baadae ndio unaweza cheki ustaarabu mwingine
 
Mkuu zamlock nimekuuliza kama una usafiri binafsi(gari/pikipiki) kama una usafiri nakushauri uamke mapema sana saa kumi na mbili kasoro uwe umefika ccbrt hospital msasani ili kuwahi na vile vile kuepuka usumbufu wa foleni kubwa inayokuwepo hapo hospitalini, mtoto wako atapata huduma anayostahili hapo.

Hapo kuna madaktari bingwa na gharama za matibabu ni nafuu kulinganisha na hospital binafsi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu zamlock nimekuuliza kama una usafiri binafsi(gari/pikipiki) kama una usafiri nakushauri uamke mapema sana saa kumi na mbili kasoro uwe umefika ccbrt hospital msasani ili kuwahi na vile vile kuepuka usumbufu wa foleni kubwa inayokuwepo hapo hospitalini, mtoto wako atapata huduma anayostahili hapo.

Hapo kuna madaktari bingwa na gharama za matibabu ni nafuu kulinganisha na hospital binafsi.
yes nina usafiri nanimeelekezwa magomeni muembe chai Luna hospital nzuri Kwa ajili ya kutibu masikio wamebobea ndiyo naelekea kaka.
 
Last edited by a moderator:
yes nina usafiri nanimeelekezwa magomeni muembe chai Luna hospital nzuri Kwa ajili ya kutibu masikio wamebobea ndiyo naelekea kaka.

Ungeenda ccbrt ndio ingekuwa vizuri sana. Magomeni mwembechai kuna nyingine inaitwa ekenywa.
 
Mkuu zamlock naomba utupe mrejesho tujue km mwanetu ameendelea vzr na umepata matibabu.

Uwapige marufuku KBS kujiingiza/kuingiziana vijiti masikioni, machozi na puani pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom