Na jino linalochimbika dawa yake niniChukua kitunguu swaumu kama punje 5 zi twange..changanya n kijicho cha asali..paka hta mara 3 kw siku..baada y sku 7 leta mrejesho
Shukrani sana mkuu
Shukrani sana mkuuYes unaweza tumia hizo dawa inaonekana ni infection tu , antibiotic inaweza saidia
Lakini ukikuta umepona lakini baadaye tatizo limerudi tena , basi nicheki nitakutibu kwa Natural ,maana itakuwa shida nyingine !
View attachment 2925505
Dawa nzuri hiyo ya kupaka imenisaidia hata mimiShukrani sana mkuu