Sikio linachimbika : PICHA Msaada mwenye kujua tiba

Kaluluma

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
468
Reaction score
619
Habari za leo wakuu,

Nina muda wa wiki mbili Sasa Niko porini,

Limeibuka tatizo kwenye sikio langu la kushoto,

Nimeenda hospitali nimetumia dawa nilizopewa lakini hali bado haijatengemaa,

Yeyote mwenye kujua tiba ya tatizo hili au aliyewahi kufikwa na hii shida akaitatua naomba anisaidie alijikwamuaje,

Naambatanisha na picha chini
 
Chukua kitunguu swaumu kama punje 5 zi twange..changanya n kijicho cha asali..paka hta mara 3 kw siku..baada y sku 7 leta mrejesho
Akhsante mkuu ngoja nitumie hii njia,

Nitaleta mrejesho
 
๐— ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐˜„๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐˜‚
 
Shukrani sana mkuu

Yes unaweza tumia hizo dawa inaonekana ni infection tu , antibiotic inaweza saidia
Lakini ukikuta umepona lakini baadaye tatizo limerudi tena , basi nicheki nitakutibu kwa Natural ,maana itakuwa shida nyingine !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ