Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Tatizo hujiamini. Yeye mbona akilala anaachia/anayamba zaidi yako?.WanaJF nina tatizo linanikabili sijui kama na wenzangu mnalo,nimekuwa siko free na nashindwa kujiachia kulala na mpenzi wangu mpaka asubuhi kwasababu naogopa nikijamba usiku atanielewaje,nakosa amani kwa kweli kwasababu usiku huwa nikiachia yanatoa sauti sana,kuepusha shari na fedheha nimekuwa nikikwepa kulala naye kitu ambacho mwenzangu bado anaking'ang'ania,nisaidieni hata ushauri namna ya kufanya niwe na amani mwenzenu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Uwe huru na yeye pia atakuwa huru!!jiachie tu!