Wewe lala nae tena mjifunike shuka moja, achia kitu ukimiona anatoa kichwa nje ujue hakupendi lol
Kama unamficha mpenzi wako kuwa huwa unajamba, basi utamficha mengi sana!!!! Kwani huoy mpenzi wako unadhani hajui kuwa unajamba?? Vp kuhusu kwenda haja, pia nalo unaogopa?? Ila wewe kiboko aisee!!!!!!!!
Jiachie wewe.....mimi mbona wangu huwa anafurahia sana.
..........................na tena unautafuta upaja wake ndo unaachia ki.jampo ili si harufu tu bali na joto kama la stima:love:
Hahahah kupeana joto ndo mpango mzima
JF is never boring..........