Siku 511 za ubabe wa Gamondi kwa Simba

Siku 511 za ubabe wa Gamondi kwa Simba

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Baada ya kuitumikia Yanga kwa siku 511, kocha Miguel Gamondi leo Novemba 15, 2024 ameonyeshwa mlango wa kutokea kwa kile kinachoonekana ni uongozi wa Yanga kutoridhishwa na mwenendo wa timu msimu huu hasa baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu dhidi ya Azam FC na Tabora hivi karibuni.

Kumbukumbu zinaonyesha siku 511 ambazo Gamondi ameitumikia Yanga zimekuwa ngumu kwa watani wao wa jadi Simba kutokana na kocha huyo kuiongoza timu yake kutwaa mataji yote muhimu ambayo Simba ilikuwa imepanga kuyatwaa lakini pia kuiwezesha yanga kupata matokeo mazuri kwenye mechi dhidi ya watani wao wa jadi.

Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Mchezo wa Ngao ya Jamii kule Tanga Kufungua msimu wa 2023/ 2024
Simba 0 - 0 Yanga ( Yanga akafungwa kwa penati na Simba akawa bingwa)

November 5 2023
Simba 1- 5 Yanga ( Ligi kuu ya NBC), Mzunguko wa pili Yanga 2 - 1 Simba ( Ligi kuu ya NBC),

Msimu wa 2024/2025

Ngao ya Jamii

Simba 0 - 1 Yanga ,

Ligi kuu Mzunguko wa kwanza Simba 0 - 1 Yanga

Kwahiyo ukitazama katika game walizokutana kati ya Yanga na Simba, Yanga walipoteza game moja pekee. Kwahiyo Simba watabaki na kumbukumbu ya kupasuka mara nyingi na Yanga chini ya Kocha Gamond.

Screenshot 2024-11-15 214623.png
 
2023 Simba anampiga Gamond anabeba ngao ya Hisani. 2024 Kijili anajifunga Gamond anatoka bila Shoot on Target.
5-1 GSM anawanunua Chama, Manula na Inonga timu inapoteza kwa Hujuma. Kwa kifupi Gamond hajawahi kuwa na ubabe kwa Simba ni stori za ushabiki.
 
2023 Simba anampiga Gamond anabeba ngao ya Hisani. 2024 Kijili anajifunga Gamond anatoka bila Shoot on Target.
5-1 GSM anawanunua Chama, Manula na Inonga timu inapoteza kwa Hujuma. Kwa kifupi Gamond hajawahi kuwa na ubabe kwa Simba ni stori za ushabiki.
Kijili aliambiwa na nani ajifunge?
 
2023 Simba anampiga Gamond anabeba ngao ya Hisani. 2024 Kijili anajifunga Gamond anatoka bila Shoot on Target.
5-1 GSM anawanunua Chama, Manula na Inonga timu inapoteza kwa Hujuma. Kwa kifupi Gamond hajawahi kuwa na ubabe kwa Simba ni stori za ushabiki.
Endelea kujidanganya ila tambua kwamba Rekodi zake zitahesabika hivyo ukubali ukatae
 
Baada ya kuitumikia Yanga kwa siku 511, kocha Miguel Gamondi leo Novemba 15, 2024 ameonyeshwa mlango wa kutokea kwa kile kinachoonekana ni uongozi wa Yanga kutoridhishwa na mwenendo wa timu msimu huu hasa baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu dhidi ya Azam FC na Tabora hivi karibuni.

Kumbukumbu zinaonyesha siku 511 ambazo Gamondi ameitumikia Yanga zimekuwa ngumu kwa watani wao wa jadi Simba kutokana na kocha huyo kuiongoza timu yake kutwaa mataji yote muhimu ambayo Simba ilikuwa imepanga kuyatwaa lakini pia kuiwezesha yanga kupata matokeo mazuri kwenye mechi dhidi ya watani wao wa jadi.

Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Mchezo wa Ngao ya Jamii kule Tanga Kufungua msimu wa 2023/ 2024
Simba 0 - 0 Yanga ( Yanga akafungwa kwa penati na Simba akawa bingwa)

November 5 2023
Simba 1- 5 Yanga ( Ligi kuu ya NBC), Mzunguko wa pili Yanga 2 - 1 Simba ( Ligi kuu ya NBC),

Msimu wa 2024/2025

Ngao ya Jamii

Simba 0 - 1 Yanga ,

Ligi kuu Mzunguko wa kwanza Simba 0 - 1 Yanga

Kwahiyo ukitazama katika game walizokutana kati ya Yanga na Simba, Yanga walipoteza game moja pekee. Kwahiyo Simba watabaki na kumbukumbu ya kupasuka mara nyingi na Yanga chini ya Kocha Gamond.

View attachment 3153222
 
20241103_155321.jpg

Kula chuma hiyooo.
Hivi ndivyo Utopolo mlikuwa mnaziba Camera Chamazi ili mchome Sindano na kuweka Uchawi.
Kesho tutarusha za Sindano endeleeeni kutuchokoza, UBAYA UBWELAAAAA!
Kama ingekuwa hivi Simba SC asingekosa ubingwa mara 4 mfululizo mpira ni sayansi masta
 
Kula chuma hiyooo.
Hivi ndivyo Utopolo mlikuwa mnaziba Camera Chamazi ili mchome Sindano na kuweka Uchawi.
Kesho tutarusha za Sindano endeleeeni kutuchokoza, UBAYA UBWELAAAAA!
Kawaida yenu kuzusha taarifa za uongo endeleni mtaacha wenyewe
 
7 - stop
7 - stop
7 - stop
7 - stop
8 - kwangu
8 - kwangu
J - Naomba Mavi
Last card
3 - Nimemaliza.
 
Bila bahasha za GSM kwa marefaree na kununua baadhi ya wachezaji wa simba hakina Chama , Inonga na Baleke Yanga hana uwezo wa kuifunga simba
 
Simba anaenda kufa game 5 maana yanga anachokitaka ni ubingwa wa 4 huenda na 5
Kumleta huyu kocha ni karata muhimu hasa kwa yeyote aliyeiona galaxy msimu uliopita jamaa ana mbinu sana
Hapa kelele zitakuwa nyingi sana ila as yanga afrika we are on a our way up
 
Back
Top Bottom