Ribertinho alikuwa na ubovu gani? Si alifungwa mechi 1 tu na Yanga akatimuliwa? Tena simba yenywe ilikuwa imechoka sana..nawashangaa makolo kudandia mambo ya wa kubwa ilihali kwenu kuna madudu kibao. Hivi mechi ya juzi ya simba Queens mliona timu ilivyoingia uwanjani?