#COVID19 Siku 60 zijazo Tanzania inaweza kuwa zaidi ya India kwenye suala la COVID-19

Hali ikoje?
 
Kwa mujibu wa bandiko lako na mpaka sasa siku 60 zimepita na huna ushahidi kwamba tumeipita india kwa maswala ya COVID
nadhani tumia busara yako na utu kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya.
 
Ujinga ujinga tu
 
Wewe nyumbu njoo utupe mrejesho wa Covid 19 yako!!?
 
Nchi ina watu over 800M unalinganisha na nchi yenye watu 60M kweli? Ndo mana umepwaya
 
Mmekufa wangapi kwenye familia yenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…