Siku 645 Bunge za Mbunge Cherehani

Siku 645 Bunge za Mbunge Cherehani

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE EMMANUEL CHEREHANI SIKU 645 BUNGENI NA MABADILIKO MAKUBWA JIMBO LA USHETU

"Tulipata Shilingi Milioni 470 kwaajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Elias Kwandikwa" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu

"Tulipata Shilingi Bilioni 2.08 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule za Sekondari Jimbo la Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu

"Tulipata Shilingi Bilioni 3.5 kwaajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu

"Tulipata Shilingi Milioni 550 kwaajili ya ujenzi wa maboma ya Zahanati Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu

"Tulipata Shilingi Bilioni 2.2 kwaajili ya ujenzi wa Jengo la Utawala Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu.

WhatsApp Image 2023-08-04 at 20.58.41.jpeg
WhatsApp Image 2023-08-04 at 20.58.42.jpeg
WhatsApp Image 2023-08-04 at 20.58.43.jpeg
WhatsApp Image 2023-08-04 at 20.58.43(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-08-04 at 20.58.44.jpeg
 

MBUNGE EMMANUEL CHEREHANI SIKU 645 BUNGENI NA MABADILIKO MAKUBWA JIMBO LA USHETU

"Tulipata Shilingi Milioni 470 kwaajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Elias Kwandikwa" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu

"Tulipata Shilingi Bilioni 2.08 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule za Sekondari Jimbo la Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu

"Tulipata Shilingi Bilioni 3.5 kwaajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu

"Tulipata Shilingi Milioni 550 kwaajili ya ujenzi wa maboma ya Zahanati Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu

"Tulipata Shilingi Bilioni 2.2 kwaajili ya ujenzi wa Jengo la Utawala Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu.

View attachment 2708648View attachment 2708649View attachment 2708650View attachment 2708652View attachment 2708653
Huyo jamaa amenyanyasa sana watumishi katika jimbo lake,ana roho mbaya sana
 
Anahusika nini na watumishi?

Watumishi wa tamisemi wanapelekeshwa sana na madiwani, mbunge ni diwani pia. Mbunge anaushawushi Kwa mkurugenzi hivyo atasikilizwa na kupokelewa ushawishi wake.


Wanaonyanyadika ni wakuu wa shule, waganga wafawidhi na watendaji wa kata na vijiji. Hilo ni kundi la wenye Cha kupoteza.
 
Watumishi wa tamisemi wanapelekeshwa sana na madiwani, mbunge ni diwani pia. Mbunge anaushawushi Kwa mkurugenzi hivyo atasikilizwa na kupokelewa ushawishi wake.


Wanaonyanyadika ni wakuu wa shule, waganga wafawidhi na watendaji wa kata na vijiji. Hilo ni kundi la wenye Cha kupoteza.
Wacha wakome maana wakifika kwenye masanduku ya kura wanashiriki kuiba kura ili wabunge washinde!
 
Back
Top Bottom