Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
MBUNGE EMMANUEL CHEREHANI - SIKU 645 BUNGENI, MIKUTANO 235 YA HADHARA
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Kahama-Shinyanga Dkt. Mhe. Emmanuel Cherehani mpaka sasa ametimiza SIKU 645 BUNGENI na kufanya Mikutano 235 ya HADHARA
Umeme Vijijini
"Tumepiga hatua kubwa katika kusimamia na kutekeleza miradi ya Umeme Vijijini kutoka Vijiji 20 mwaka 2021 hadi Vijiji 70 sasa Jimboni Ushetu" - Mhe. Dkt. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu
#HakunaKilichosimamaUshetu
#SamiaKazini
#KaziIendelee
Attachments
-
WhatsApp Image 2023-07-27 at 16.58.14.jpeg76.8 KB · Views: 8 -
WhatsApp Image 2023-07-27 at 17.28.32.jpeg95 KB · Views: 2 -
WhatsApp Image 2023-07-27 at 17.28.33.jpeg128.5 KB · Views: 2 -
WhatsApp Image 2023-07-27 at 17.28.44.jpeg90.8 KB · Views: 3 -
WhatsApp Image 2023-07-27 at 17.28.44(1).jpeg122.4 KB · Views: 4