Siku akitoka madarakani hataamini macho na masikio yake kwa wale waliokuwa wanampigia makofi na vifijo

Siku akitoka madarakani hataamini macho na masikio yake kwa wale waliokuwa wanampigia makofi na vifijo

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
 
Maneno ya kukata tamaa ya maisha, acha kupoteza muda kusubiri Magufuli ashindwe, jaribu hata kupigia simu wazazi/ndugu/jamaa au marafiki uwaambie kwamba unawapenda angalau upate thawabu kama hata unaamini.

Magufuli ni Raisi wa V wa JMTZ, hahitaji kuthibitisha chochote kwako!
 
Maneno ya kukata tamaa ya maisha, acha kupoteza muda kusubiri Magufuli ashindwe, jaribu hata kupigia simu wazazi/ndugu/jamaa au marafiki uwaambie kwamba unawapenda angalau upate thawabu kama hata unaamini.

Magufuli ni Raisi wa V wa JMTZ, hahitaji kuthibitisha chochote kwako!
Sawa nimekusikia Mlamba miguu
 
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
Vipi wanaccm mbona mnapigana vijembe nyinyi kwa nyinyi?
 
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
Kwani Le mutuz ni nani pale Lumumba?!.........au serikalini?
 
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
Utasubiri sana mpaka uende kaburini!!
 
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,

Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya

Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi

Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani

Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana

Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,

Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza

Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana

Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
ahaaa kweli kweli tupu!
 
Maneno ya kukata tamaa ya maisha, acha kupoteza muda kusubiri Magufuli ashindwe, jaribu hata kupigia simu wazazi/ndugu/jamaa au marafiki uwaambie kwamba unawapenda angalau upate thawabu kama hata unaamini.

Magufuli ni Raisi wa V wa JMTZ, hahitaji kuthibitisha chochote kwako!
nani kakata tamaa kati yako na mtoa uzi???
 
Maneno ya kukata tamaa ya maisha, acha kupoteza muda kusubiri Magufuli ashindwe, jaribu hata kupigia simu wazazi/ndugu/jamaa au marafiki uwaambie kwamba unawapenda angalau upate thawabu kama hata unaamini.

Magufuli ni Raisi wa V wa JMTZ, hahitaji kuthibitisha chochote kwako!
Hivi wewe mataga enzi za Kikwete mlivyokua mnakata viuno hapa kulazimisha kuwa pesa za Escrow sio za Umma mlidhani mmemaliza kila kitu?
 
Ogopa sana mtu mnafiki. Bashite alikuwa anajifanya kuwa karibu sana na Jakaya. Jakaya katoka, kajifanya kuwa karibu sana na mkuu wa malaika, hakika akitoka huyu atajipendekeza kwa anayekuja kwa namna ya ajabu. Na kama wa sasa atatukanwa au kukejeliwa, yeye atakuwa tayari kumkejeli kuliko sisi wote. Watu wanafiki ndivyo walivyo.
 
Mbona kitambo mwanaharakati wenu huru na kada mwenzenu wa ccm, Cyprian Musiba alishasema wanachama na wafuasi wengi wa ccm mna digrii za UNAFIKI!

Enzi za JK, mlimsifia kwelikweli! Ameondoka, leo hii ukiwaangalia akina Jenister Mhagama na wenzake wanavyomsifia Jpm, unaweza ukadhani wameshuka naye Tanzania kutoka Sayari nyingine! Full unafiki.
 
Maneno ya kukata tamaa ya maisha, acha kupoteza muda kusubiri Magufuli ashindwe, jaribu hata kupigia simu wazazi/ndugu/jamaa au marafiki uwaambie kwamba unawapenda angalau upate thawabu kama hata unaamini.

Magufuli ni Raisi wa V wa JMTZ, hahitaji kuthibitisha chochote kwako!
Mbn watu cku izi mmekuw wachumia tumbo,mtu anaongea fact bwana
 
Back
Top Bottom