britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Ni Kama kausahau unafiki wa Watanzania,
Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya
Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi
Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani
Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana
Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,
Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza
Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana
Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica
Hawa hawa kina Lemutuz na Makonda walikuwa wananyenyekea Kwa Kikwete lakin wamepata muabudiwa mpya
Usishangae Mwaka 2026 akiwa amekubali kuachia madaraka wakiibua hoja hizi
Tunataka kujua mchakato wa manunuzi ya ndege zetu kuna harufu fulani
Kuna waliopotea bila kuonekana najua kuna mahojiano yataanza sana
Kina Rugemalila wa Escrow wako tiyari kukaa ndani Kwa miaka ningine 6 ili akija mwingine ayatengue haya,
Yatasemwa mengi ngoja niishie hapa kwanza
Kumbe kuna ufalme mara mbili kuna ule wa kuwa nao milele, lakin kuna wa kuonjeshwa na muda wake ukaisha ni mbaya sana
Nutafufua uzi huu mwaka 2028 panapo majaliwa Mungu atupe uzima
Britannica