Siku ambayo Hayati Magufuli alimshangaa Mufti Aboubakar Zuberi

Siku ambayo Hayati Magufuli alimshangaa Mufti Aboubakar Zuberi

Ni bora tu walivyojenga wenyewe, kwa jinsi ninavyoijua bakwata laiti wangekabidhiwa hizo pesa wangeishia kujenga msingi tu na pesa yote ingekua imeisha.
 
Leo katika historia.

Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.

Rais aliekuwa WA wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi

Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi kukubalika na wote hata uwe nani. Kwahiyo sishangai wanaobeza alichokifanya bwana mkubwa yule kwakuwa ni katika maumbile kubeza vitu usivyotambua thamani yake mana hata mama na yeye Kuna kundi la Wala ugoro na mirungi wanambeza. Hao ni watu wasio jua wanataka nini.

Haya mada ipo hivi. Katika ule ufadhili wa msikiti wa Bakwata pale Kinondoni, wale wafadhili walitaka kutoa Hela cash au cheque ya thamani ya huo msikiti ujengwe. Kama sikosei zilikuwa dolar Milion 12 wapewe Bakwata wajenge wenyewe.

Mufti mkuu akasema hapana Hela ni fitna sana kwahiyo sisi msitupe Hela hata cent Tano. Nyie jengeni wenyewe alafu mtukabidhi funguo tu msikiti kwa maana hizo hela zisije kufanyiwa ubadhirifu alafu tukaanza kutupiana lawama kuonekana uongozi wa Bakwata umefanya ufujaji wa pesa za Waislamu. Kwahiyo mufti kazikataa hizi pesa kwa style hiyo.

Bwana mkubwa akasikia hiki kisa kuna mtu huko kakataa hela cash. Eti anasema anaogopa fitna ya pesa. Bwana mkubwa akasema muiteni huyo mtu, inawezekana akawa muadilifu sana, hii kitu sio ya kawaida unakataaje dolar milion 12?

Basi kuanzia hapo ikawa ndio mwanzo wa kuiva sana baina ya bwana jpm ba mufti Aboubakar Zuberi.

Ramadhani makbul ndugu zangu.
Tuwekee hapa huo ushahidi kuthibitisha sababu ulizotaja kuwa ni chanzo Cha kupendana Mufti na Mwendazake kuwa ni kitendo Cha Mufti kukataa hela cash Kwa ajili ya ujenzi wa msikiti.
 
mkuu magu kaongoza nchi ujue kabla ya hapo amekaa waziri wa miundombinu muda sana 28b unahisi kwake ni hela ya kumuumiza roho
Sasa ilikuaje amteke MO kisa alikataa kutoa 2B alikuwa nawatuma kaina sabaya wakaibie wafanyabiashara kule moshi Million 100 n.k yule jamaa alikuwa mlafi na mroho sana ndio maana akaenda kuficha hela zile china,mjinga yule
 
Sasa ilikuaje amteke MO kisa alikataa kutoa 2B alikuwa nawatuma kaina sabaya wakaibie wafanyabiashara kule moshi Million 100 n.k yule jamaa alikuwa mlafi na mroho sana ndio maana akaenda kuficha hela zile china,mjinga yule
una stori za vijiweni nyingiiiiii
stori za wajanja wa bush
 
Leo katika historia.

Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.

Rais aliekuwa WA wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi

Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi kukubalika na wote hata uwe nani. Kwahiyo sishangai wanaobeza alichokifanya bwana mkubwa yule kwakuwa ni katika maumbile kubeza vitu usivyotambua thamani yake mana hata mama na yeye Kuna kundi la Wala ugoro na mirungi wanambeza. Hao ni watu wasio jua wanataka nini.

Haya mada ipo hivi. Katika ule ufadhili wa msikiti wa Bakwata pale Kinondoni, wale wafadhili walitaka kutoa Hela cash au cheque ya thamani ya huo msikiti ujengwe. Kama sikosei zilikuwa dolar Milion 12 wapewe Bakwata wajenge wenyewe.

Mufti mkuu akasema hapana Hela ni fitna sana kwahiyo sisi msitupe Hela hata cent Tano. Nyie jengeni wenyewe alafu mtukabidhi funguo tu msikiti kwa maana hizo hela zisije kufanyiwa ubadhirifu alafu tukaanza kutupiana lawama kuonekana uongozi wa Bakwata umefanya ufujaji wa pesa za Waislamu. Kwahiyo mufti kazikataa hizi pesa kwa style hiyo.

Bwana mkubwa akasikia hiki kisa kuna mtu huko kakataa hela cash. Eti anasema anaogopa fitna ya pesa. Bwana mkubwa akasema muiteni huyo mtu, inawezekana akawa muadilifu sana, hii kitu sio ya kawaida unakataaje dolar milion 12?

Basi kuanzia hapo ikawa ndio mwanzo wa kuiva sana baina ya bwana jpm ba mufti Aboubakar Zuberi.

Ramadhani makbul ndugu zangu.
kweli aisee!!!!
 
Leta story zake behind the scenes hawa watu kila kitu hufanya kupata attention ila ni waovu
 
Unafikiri bakwata wangepewa cash msikiti ungejengwa..kufikia hapo ulipo?
Sana sana ungeishia kwenye foundation tu pesa ingeliwa

Ova
 
Magufuli alishangaa akajisemea mwenyewe ingekuwa ni yeye angezichukua kisha anazipeleka China kwenye ile account yake.
Stori zingine bwana,sasa si mkazilete hizo pesa huko alikoweka! Au zimegoma kutoka?
 
Leo katika historia.

Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.

Rais aliekuwa wa wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi

Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi kukubalika na wote hata uwe nani. Kwahiyo sishangai wanaobeza alichokifanya bwana mkubwa yule kwakuwa ni katika maumbile kubeza vitu usivyotambua thamani yake mana hata mama na yeye Kuna kundi la Wala ugoro na mirungi wanambeza. Hao ni watu wasio jua wanataka nini.

Haya mada ipo hivi. Katika ule ufadhili wa msikiti wa Bakwata pale Kinondoni, wale wafadhili walitaka kutoa Hela cash au cheque ya thamani ya huo msikiti ujengwe. Kama sikosei zilikuwa dolar Milion 12 wapewe Bakwata wajenge wenyewe.

Mufti mkuu akasema hapana Hela ni fitna sana kwahiyo sisi msitupe Hela hata cent Tano. Nyie jengeni wenyewe halafu mtukabidhi funguo tu msikiti kwa maana hizo hela zisije kufanyiwa ubadhirifu halafu tukaanza kutupiana lawama kuonekana uongozi wa Bakwata umefanya ufujaji wa pesa za Waislamu. Kwahiyo mufti kazikataa hizi pesa kwa style hiyo.

Bwana mkubwa akasikia hiki kisa kuna mtu huko kakataa hela cash. Eti anasema anaogopa fitna ya pesa. Bwana mkubwa akasema muiteni huyo mtu, inawezekana akawa muadilifu sana, hii kitu sio ya kawaida unakataaje dolar milion 12?

Basi kuanzia hapo ikawa ndio mwanzo wa kuiva sana baina ya bwana JPM ba mufti Aboubakar Zuberi.

Ramadhani makbul ndugu zangu.
Stori za gahawa
 
Sasa kama kitu hakiwezekani kwanini kiongelewe?
ila watu wajue kuna mwizi aliwahi kuingia ikulu na kuiba hela za watanzania wenzake kwenda kuzificha china. Lazima vizazi vyetu vielewe wasije rudia kumpa urais mtu mshamba kama yule, shetani, staff kichaa aliyekuwa na file mirembe
 
Back
Top Bottom