Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee hapa huo ushahidi kuthibitisha sababu ulizotaja kuwa ni chanzo Cha kupendana Mufti na Mwendazake kuwa ni kitendo Cha Mufti kukataa hela cash Kwa ajili ya ujenzi wa msikiti.Leo katika historia.
Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.
Rais aliekuwa WA wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi
Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi kukubalika na wote hata uwe nani. Kwahiyo sishangai wanaobeza alichokifanya bwana mkubwa yule kwakuwa ni katika maumbile kubeza vitu usivyotambua thamani yake mana hata mama na yeye Kuna kundi la Wala ugoro na mirungi wanambeza. Hao ni watu wasio jua wanataka nini.
Haya mada ipo hivi. Katika ule ufadhili wa msikiti wa Bakwata pale Kinondoni, wale wafadhili walitaka kutoa Hela cash au cheque ya thamani ya huo msikiti ujengwe. Kama sikosei zilikuwa dolar Milion 12 wapewe Bakwata wajenge wenyewe.
Mufti mkuu akasema hapana Hela ni fitna sana kwahiyo sisi msitupe Hela hata cent Tano. Nyie jengeni wenyewe alafu mtukabidhi funguo tu msikiti kwa maana hizo hela zisije kufanyiwa ubadhirifu alafu tukaanza kutupiana lawama kuonekana uongozi wa Bakwata umefanya ufujaji wa pesa za Waislamu. Kwahiyo mufti kazikataa hizi pesa kwa style hiyo.
Bwana mkubwa akasikia hiki kisa kuna mtu huko kakataa hela cash. Eti anasema anaogopa fitna ya pesa. Bwana mkubwa akasema muiteni huyo mtu, inawezekana akawa muadilifu sana, hii kitu sio ya kawaida unakataaje dolar milion 12?
Basi kuanzia hapo ikawa ndio mwanzo wa kuiva sana baina ya bwana jpm ba mufti Aboubakar Zuberi.
Ramadhani makbul ndugu zangu.
Sasa ilikuaje amteke MO kisa alikataa kutoa 2B alikuwa nawatuma kaina sabaya wakaibie wafanyabiashara kule moshi Million 100 n.k yule jamaa alikuwa mlafi na mroho sana ndio maana akaenda kuficha hela zile china,mjinga yulemkuu magu kaongoza nchi ujue kabla ya hapo amekaa waziri wa miundombinu muda sana 28b unahisi kwake ni hela ya kumuumiza roho
Una kichaamagufuli alishangaa akajisemea mwenyewe ingekuwa ni yeye angezichukua kisha anazipeleka China kwenye ile account yake.
una stori za vijiweni nyingiiiiiiSasa ilikuaje amteke MO kisa alikataa kutoa 2B alikuwa nawatuma kaina sabaya wakaibie wafanyabiashara kule moshi Million 100 n.k yule jamaa alikuwa mlafi na mroho sana ndio maana akaenda kuficha hela zile china,mjinga yule
kweli aisee!!!!Leo katika historia.
Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.
Rais aliekuwa WA wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi
Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi kukubalika na wote hata uwe nani. Kwahiyo sishangai wanaobeza alichokifanya bwana mkubwa yule kwakuwa ni katika maumbile kubeza vitu usivyotambua thamani yake mana hata mama na yeye Kuna kundi la Wala ugoro na mirungi wanambeza. Hao ni watu wasio jua wanataka nini.
Haya mada ipo hivi. Katika ule ufadhili wa msikiti wa Bakwata pale Kinondoni, wale wafadhili walitaka kutoa Hela cash au cheque ya thamani ya huo msikiti ujengwe. Kama sikosei zilikuwa dolar Milion 12 wapewe Bakwata wajenge wenyewe.
Mufti mkuu akasema hapana Hela ni fitna sana kwahiyo sisi msitupe Hela hata cent Tano. Nyie jengeni wenyewe alafu mtukabidhi funguo tu msikiti kwa maana hizo hela zisije kufanyiwa ubadhirifu alafu tukaanza kutupiana lawama kuonekana uongozi wa Bakwata umefanya ufujaji wa pesa za Waislamu. Kwahiyo mufti kazikataa hizi pesa kwa style hiyo.
Bwana mkubwa akasikia hiki kisa kuna mtu huko kakataa hela cash. Eti anasema anaogopa fitna ya pesa. Bwana mkubwa akasema muiteni huyo mtu, inawezekana akawa muadilifu sana, hii kitu sio ya kawaida unakataaje dolar milion 12?
Basi kuanzia hapo ikawa ndio mwanzo wa kuiva sana baina ya bwana jpm ba mufti Aboubakar Zuberi.
Ramadhani makbul ndugu zangu.
kama mshamba wenu yule aliyelala kule chato.una stori za vijiweni nyingiiiiii
stori za wajanja wa bush
yule kakuzidi kila kitu anakuwaje mshambakama mshamba wenu yule aliyelala kule chato.
Marehemu ananizidi nini mimi ninayepumuayule kakuzidi kila kitu anakuwaje mshamba
hahahaha ukiacha kupumua, maisha yako n marehemu toshaMarehemu ananizidi nini mimi ninayepumua
Stori zingine bwana,sasa si mkazilete hizo pesa huko alikoweka! Au zimegoma kutoka?Magufuli alishangaa akajisemea mwenyewe ingekuwa ni yeye angezichukua kisha anazipeleka China kwenye ile account yake.
unafikiri serikali hii inatoa hela kwenye account za watu kama serikali ya yule shetani?Stori zingine bwana,sasa si mkazilete hizo pesa huko alikoweka! Au zimegoma kutoka?
Marehemu mtarajiwahahahaha ukiacha kupumua, maisha yako n marehemu tosha
Stori za gahawaLeo katika historia.
Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.
Rais aliekuwa wa wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi
Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi kukubalika na wote hata uwe nani. Kwahiyo sishangai wanaobeza alichokifanya bwana mkubwa yule kwakuwa ni katika maumbile kubeza vitu usivyotambua thamani yake mana hata mama na yeye Kuna kundi la Wala ugoro na mirungi wanambeza. Hao ni watu wasio jua wanataka nini.
Haya mada ipo hivi. Katika ule ufadhili wa msikiti wa Bakwata pale Kinondoni, wale wafadhili walitaka kutoa Hela cash au cheque ya thamani ya huo msikiti ujengwe. Kama sikosei zilikuwa dolar Milion 12 wapewe Bakwata wajenge wenyewe.
Mufti mkuu akasema hapana Hela ni fitna sana kwahiyo sisi msitupe Hela hata cent Tano. Nyie jengeni wenyewe halafu mtukabidhi funguo tu msikiti kwa maana hizo hela zisije kufanyiwa ubadhirifu halafu tukaanza kutupiana lawama kuonekana uongozi wa Bakwata umefanya ufujaji wa pesa za Waislamu. Kwahiyo mufti kazikataa hizi pesa kwa style hiyo.
Bwana mkubwa akasikia hiki kisa kuna mtu huko kakataa hela cash. Eti anasema anaogopa fitna ya pesa. Bwana mkubwa akasema muiteni huyo mtu, inawezekana akawa muadilifu sana, hii kitu sio ya kawaida unakataaje dolar milion 12?
Basi kuanzia hapo ikawa ndio mwanzo wa kuiva sana baina ya bwana JPM ba mufti Aboubakar Zuberi.
Ramadhani makbul ndugu zangu.
Sasa kama kitu hakiwezekani kwanini kiongelewe?unafikiri serikali hii inatoa hela kwenye account za watu kama serikali ya yule shetani?
ila watu wajue kuna mwizi aliwahi kuingia ikulu na kuiba hela za watanzania wenzake kwenda kuzificha china. Lazima vizazi vyetu vielewe wasije rudia kumpa urais mtu mshamba kama yule, shetani, staff kichaa aliyekuwa na file mirembeSasa kama kitu hakiwezekani kwanini kiongelewe?