Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

She over reacted kwa kweli, alipaswa akuulize kwanza na upate nafasi y kujitetea

Ila kama mkeo sio mvumulivu wa kiasi hicho, weka utaratibu wa kutoshika simu yako, kwa sababu kama msg ya kawaida kama hiyo anatakutoa jicho, sijui atafanya nini siku akikuta msg yenye live bila chenga

Ila na wewe muonye huyo dada mazoea ya kukutumia msg hovyoo utakuja vunja ndoa yako bure, imagin huyo Salma ameshawatunuku wangapi kwa mtindo huo huo, pengine kila mteja wake ametunukiwa

Your family comes first before anyone
 
Hahah fryingpan ya kichwa daadeki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mzee baba kwahio ukaamua kurudisha kipigo cha bila sababu ya msingi kwa kufanya kweli aiseeeeeh [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Nyumba yao itakuwa na American Kitchen. Wife anatizama video na mara ana frying pan? Alikwenda jikoni kuchukuwa frying pan au alikuwa nayo sebuleni? Its funny!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…