Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

Pale ofisini kuna dada mmoja mashallah huwa analeta chakula. Kaumbika sana yule, chakula anachokuletea hata akizidisha pilipili kama yupo mbele yako huwezi pata ujasiri au nguvu ya kumkosoa; utakiona sawa tu.

Nilichukua namba yake tuwe tunawasiliana nimwagize chakula ntakacho. Mtoto wa kizigua yule mashallah, ajua kupika.

Mwezi mmoja uliopita tulikuwa tumeanzisha utaratibu wa kufanyia kazi home kutokana na Corona.

Alinimiss akaona anitumie text kuwa amenimiss kesho anaomba anipikie chakula maalum. Text yake imeingia simu ipo mkononi mwa wife anaangalia some videos za whatsapp akaisoma ile text.

Alikuja tu kuuliza Salma ni nani? Mimi sikuwa najua Salma gani. Kabla sijajibu alinipiga na frying pan kichwani. Kwa sekunde kadhaa network ilikata nikawa nasikia milio ya nyuki, haraka ananivamia na kuanza kunishambulia kwa magumi na mateke. Wakati huo najiweka sawa alinipiga na remote jichoni.

Mchana kabisa nikaona giza halafu nyota nyota. Nilienda kwenye kochi nikainama nimepiga magoti huku nimeweka mikono machoni. Hapo kidogo akashtuka na kuacha kunipiga.

Nilitulia kwa dakika kadhaa maana nilianza pata waswasi kuwa pengine jicho limepasuka. Kumbe wakati huo akifanya hayo alikuwa amepiga simu kwa Salma bila yeye kujua(ali press call)

Basi baada ya kama dk 10 jicho likawa ok ila siwezi kuona kwenye mwanga linauma sana. Nikaenda chumbani sikusema kitu kwanza, nilikuwa natafakari hayo yoooote. Nikawa pengine nimekuwa weak sana. Ukikaa na mke miaka mingi hujampiga anaanza kuona wewe si mwanaume halisi.

After two days nlienda town, nikaonana na Salma. Kumbe alisikia baadhi ya maneno na sauti za kipigo kwangu. Siku hiyo aliomba kesho yake niende kwake tukaongee na kweli nilienda....

Baada ya stories kadhaa aliniomba tutoke nimsindikize hapo karibu dispensary. Maskini alinipeleka tukapime HIV kisha tukarudi home kwake. She gave herself to me kama pole kwa matatizo aliyonisababishia. Dispensary alinichukulia na dawa ya macho, tukarudi akaniosha na kuniweka dawa then later on tuka make love so passionately.

Mpaka leo wife hakuniomba msamaha na hakuwa ametaka kujua huyo Salma ilikuaje akaandika vile; alinihukumu bila kunisikiliza. Jumanne alijaribu tena kunikoromea tena kibabe mbele ya housegal. Safari hii nilimtandika kibao akaanguka na kutulia kama dk 5 kisha akaamka na kuanza kulia baada ya dk zaidi ya 6 kupita.

Naona imesaidia akili yake sasa imekaa sawa na heshima imerudi. Wanawake, ya nini kupigana?
Unanikumbusha kuchapwa fimbo assemble ground et kisa nna uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi mwenzangu,
Usiku aliniita na kunipa shoo ya kibabe sana
 
Hao wameoa, wewe umeolewa hio ndio tofauti yenu.

Mwanamke mpaka anipige makofi labda niwe hoi mahututi. Kwangu mwanamke ni mwanamke tu hata awe nani katika nchii hii atakula kipigo cha mbwa koko na mashine juu ntamchapa nayo halafu freshi tu! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hio inaitwa "Putting a lady in her place!"
Huyo ni mwanamke, sio mke.

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mchezo. Sasa fikiria mtu anampiga "mke wake" "my wake" Baby wake" "sweetheart wake" kitu kama hicho.
Kuna wanaume hawapo romantic kabisa.
Ndio wako huyo, ishi naye kwa hekima.

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
 
Ushini nao kwa akili. Kama hiyo ndio akili basi we ishi nae tu hamna namna. Kumbuka, ukimwacha tu unakuwa huna akili
 
Kumbe mwanaume anaweza pelekwa kupima ukimwi kizembezembe tu hivyo...
 
Mimi nilivyo mkali kwanza huo muda wa kunipiga na hivyo vyote anapata wapi? Neeeeeh in magu voice itakuwa kesi kubwa kabisa
 
Pale ofisini kuna dada mmoja mashallah huwa analeta chakula. Kaumbika sana yule, chakula anachokuletea hata akizidisha pilipili kama yupo mbele yako huwezi pata ujasiri au nguvu ya kumkosoa; utakiona sawa tu.

Nilichukua namba yake tuwe tunawasiliana nimwagize chakula ntakacho. Mtoto wa kizigua yule mashallah, ajua kupika.

Mwezi mmoja uliopita tulikuwa tumeanzisha utaratibu wa kufanyia kazi home kutokana na Corona.

Alinimiss akaona anitumie text kuwa amenimiss kesho anaomba anipikie chakula maalum. Text yake imeingia simu ipo mkononi mwa wife anaangalia some videos za whatsapp akaisoma ile text.

Alikuja tu kuuliza Salma ni nani? Mimi sikuwa najua Salma gani. Kabla sijajibu alinipiga na frying pan kichwani. Kwa sekunde kadhaa network ilikata nikawa nasikia milio ya nyuki, haraka ananivamia na kuanza kunishambulia kwa magumi na mateke. Wakati huo najiweka sawa alinipiga na remote jichoni.

Mchana kabisa nikaona giza halafu nyota nyota. Nilienda kwenye kochi nikainama nimepiga magoti huku nimeweka mikono machoni. Hapo kidogo akashtuka na kuacha kunipiga.

Nilitulia kwa dakika kadhaa maana nilianza pata waswasi kuwa pengine jicho limepasuka. Kumbe wakati huo akifanya hayo alikuwa amepiga simu kwa Salma bila yeye kujua(ali press call)

Basi baada ya kama dk 10 jicho likawa ok ila siwezi kuona kwenye mwanga linauma sana. Nikaenda chumbani sikusema kitu kwanza, nilikuwa natafakari hayo yoooote. Nikawa pengine nimekuwa weak sana. Ukikaa na mke miaka mingi hujampiga anaanza kuona wewe si mwanaume halisi.

After two days nlienda town, nikaonana na Salma. Kumbe alisikia baadhi ya maneno na sauti za kipigo kwangu. Siku hiyo aliomba kesho yake niende kwake tukaongee na kweli nilienda....

Baada ya stories kadhaa aliniomba tutoke nimsindikize hapo karibu dispensary. Maskini alinipeleka tukapime HIV kisha tukarudi home kwake. She gave herself to me kama pole kwa matatizo aliyonisababishia. Dispensary alinichukulia na dawa ya macho, tukarudi akaniosha na kuniweka dawa then later on tuka make love so passionately.

Mpaka leo wife hakuniomba msamaha na hakuwa ametaka kujua huyo Salma ilikuaje akaandika vile; alinihukumu bila kunisikiliza. Jumanne alijaribu tena kunikoromea tena kibabe mbele ya housegal. Safari hii nilimtandika kibao akaanguka na kutulia kama dk 5 kisha akaamka na kuanza kulia baada ya dk zaidi ya 6 kupita.

Naona imesaidia akili yake sasa imekaa sawa na heshima imerudi. Wanawake, ya nini kupigana?
vipi Salma bado upo naye?
 
"Alikuja tu kuuliza Salma ni nani?mi sikuwa najua Salma gani...kabla sijajibu alinipiga na frying pan kichwan.kwa sekunde kadhaa network ilikata nikawa nasikia milio ya nyuki.haraka ananivamia na kuanza kunishambulia kwa magumi na mateke.wakati huo najiweka sawa alinipiga na remote jichoni."

[emoji23][emoji23] mkuu pole sana

Ila hii sio chai kweli?
Hta mimi kipande hicho kimenitafakarisha sana,hadi nimejiuliza

huyu jamaa hiyo siku alimuazima mtu mikono yake nini,ila hata kama

hana mikono Meno je? Miguu je? hii story inaweza kuwa na chumvi kdg

ila ukweli pia upo sasa kujua part ipi uongo ipi ukweli ndio changamoto.
 
Uzi huu ungekuwa kwenye jukwaa la kula Tunda kimasihara 😜 ungependeza sasa
 
Dah mi akijaribu mwanamke nitamgeuza punching bag mpaka nitafanya mazoezi kwake mpaka nichoke.gym session complete.
 
Back
Top Bottom