Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

Mungu huwa anapanga sana watu kuepusha wengine kuishi maisha ya gerezani. Haki ingekuwa ni mimi huyo mwanamke huenda angepoteza mfupa mmoja ktk mwili wake. Sms tu anivamie hivyo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mchezo. Sasa fikiria mtu anampiga "mke wake" "my wake" Baby wake" "sweetheart wake" kitu kama hicho.
Kuna wanaume hawapo romantic kabisa.
Kuna wanawake wagomviwagomvi tu, yaaan shari ju ya sharii,, kelele nyiiingi ndani,, sasa akikutana na mnyonge ndo watu wanasema kalishwa libwata,,

Asa akikutana na wakorofi wenzake ndo haya hutokea,, mm naona ni vizuri ulivopigwa ila siungi mkono hiyo upper cut,, ni bora angekunasa hata kakofi [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mchezo. Sasa fikiria mtu anampiga "mke wake" "my wake" Baby wake" "sweetheart wake" kitu kama hicho.
Kuna wanaume hawapo romantic kabisa.
Hahaha unakuwaje romantic wakati una hasira, tena za kupigwa na mke/my wake.

Tena una bahati huyo jamaa hasira zake anaziweza, ungekuta ni mwingine saivi ungekua unatembelea kiti cha matairi.
 
Kuna wanawake wagomviwagomvi tu, yaaan shari ju ya sharii,, kelele nyiiingi ndani,, sasa akikutana na mnyonge ndo watu wanasema kalishwa libwata,,

Asa akikutana na wakorofi wenzake ndo haya hutokea,, mm naona ni vizuri ulivopigwa ila siungi mkono hiyo upper cut,, ni bora angekunasa hata kakofi [emoji23]
Hahahaha hasira hua haichagui kwa kupiga, kitu kizuri jamaa anaonesha bado yuko vizuri ku control hasira zake, angekuwa mwingine ungekuta bibie ni kilema au tushaanua matanga kitambo.
 
Kuna wanawake wagomviwagomvi tu, yaaan shari ju ya sharii,, kelele nyiiingi ndani,, sasa akikutana na mnyonge ndo watu wanasema kalishwa libwata,,

Asa akikutana na wakorofi wenzake ndo haya hutokea,, mm naona ni vizuri ulivopigwa ila siungi mkono hiyo upper cut,, ni bora angekunasa hata kakofi [emoji23]
Angenipiga hata kakofi tuu😂😂😂😂
 
Kuning'oa meno tena. 😂😂😂😂
Kuinua mkono kunipiga... Dharau iliioje. Nakung'oa meno walahi.😀😀😀

Yaani kama unanipiga hakikisha unanivizia na uwe na mbio za kutosha. Then rudi baadae sema nisamehe.
Kitu pekee ninachoshukuru mtu akishaemaga tu samahani. Najawaga na hurama ghafla na nguvu zinaisha.
 
Unamaanisha mimi nakera sana kiasi kwamba baharia kajizuia sana?
Hapana, namaanisha jamaa ana uwezo mzuri wa kucontrol hasira zake baada ya kupigwa na mke/my wake. (Ndio maana alikupiga uppercut moja tu)
Ingekua mwingine ungeishia kuwa mlemavu wa kutembelea kiti cha matairi.
 
Angenipiga hata kakofi tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha "kakofi" huwa unapigwa mkiwa wawili faragha mkilichuma tunda la mti wa katikati.

Uchokozi kama wako unapigwa bonge la kofi mpaka sikio/masikio yanaziba kama sio kua kiziwi.
 
"Alikuja tu kuuliza Salma ni nani?mi sikuwa najua Salma gani...kabla sijajibu alinipiga na frying pan kichwan.kwa sekunde kadhaa network ilikata nikawa nasikia milio ya nyuki.haraka ananivamia na kuanza kunishambulia kwa magumi na mateke.wakati huo najiweka sawa alinipiga na remote jichoni."

[emoji23][emoji23] mkuu pole sana

Ila hii sio chai kweli?
Ha ha haaaa hili eneo bhana! Ila Wanaume lazima mtiwe adabu ya namna hii! Mambo ya kupikiwa chakula special ndo nini? Kwani wake zenu hawapiki speshoo! Michepuko jaman wacheni kuumiza mama mijengo
 
Ha ha haaaa hili eneo bhana! Ila Wanaume lazima mtiwe adabu ya namna hii! Mambo ya kupikiwa chakula special ndo nini? Kwani wake zenu hawapiki speshoo! Michepuko jaman wacheni kuumiza mama mijengo
Wangeyaongea tu, asa mambo ya kupigwa kichwani sio poa kabisa,, je angempasua macho jamaa kazi angefanyaje?
 
Back
Top Bottom