Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Mungu huwa anapanga sana watu kuepusha wengine kuishi maisha ya gerezani. Haki ingekuwa ni mimi huyo mwanamke huenda angepoteza mfupa mmoja ktk mwili wake. Sms tu anivamie hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanawake wagomviwagomvi tu, yaaan shari ju ya sharii,, kelele nyiiingi ndani,, sasa akikutana na mnyonge ndo watu wanasema kalishwa libwata,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mchezo. Sasa fikiria mtu anampiga "mke wake" "my wake" Baby wake" "sweetheart wake" kitu kama hicho.
Kuna wanaume hawapo romantic kabisa.
Hahaha unakuwaje romantic wakati una hasira, tena za kupigwa na mke/my wake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mchezo. Sasa fikiria mtu anampiga "mke wake" "my wake" Baby wake" "sweetheart wake" kitu kama hicho.
Kuna wanaume hawapo romantic kabisa.
😀😀Hadi wewe jamani?
Niliwaza tudate hata wiki nikidunde sikumoja niondoe gundu.😂😂😂
Hahahaha hasira hua haichagui kwa kupiga, kitu kizuri jamaa anaonesha bado yuko vizuri ku control hasira zake, angekuwa mwingine ungekuta bibie ni kilema au tushaanua matanga kitambo.Kuna wanawake wagomviwagomvi tu, yaaan shari ju ya sharii,, kelele nyiiingi ndani,, sasa akikutana na mnyonge ndo watu wanasema kalishwa libwata,,
Asa akikutana na wakorofi wenzake ndo haya hutokea,, mm naona ni vizuri ulivopigwa ila siungi mkono hiyo upper cut,, ni bora angekunasa hata kakofi [emoji23]
Unamaanisha mimi nakera sana kiasi kwamba baharia kajizuia sana?Hahahaha hasira hua haichagui kwa kupiga, kitu kizuri jamaa anaonesha bado yuko vizuri ku control hasira zake, angekuwa mwingine ungekuta bibie ni kilema au tushaanua matanga kitambo.
Kuning'oa meno tena. 😂😂😂😂😀😀
Kiukweli naweza vumilia sana na kupiga huwa siwezi.
Lakini ukifikia hatua eti uniinulie mkono sidhani kama naweza vumilia nitakung'oa meno nakwambia.😀
Angenipiga hata kakofi tuu😂😂😂😂Kuna wanawake wagomviwagomvi tu, yaaan shari ju ya sharii,, kelele nyiiingi ndani,, sasa akikutana na mnyonge ndo watu wanasema kalishwa libwata,,
Asa akikutana na wakorofi wenzake ndo haya hutokea,, mm naona ni vizuri ulivopigwa ila siungi mkono hiyo upper cut,, ni bora angekunasa hata kakofi [emoji23]
Kuinua mkono kunipiga... Dharau iliioje. Nakung'oa meno walahi.😀😀😀Kuning'oa meno tena. 😂😂😂😂
Hapana, namaanisha jamaa ana uwezo mzuri wa kucontrol hasira zake baada ya kupigwa na mke/my wake. (Ndio maana alikupiga uppercut moja tu)Unamaanisha mimi nakera sana kiasi kwamba baharia kajizuia sana?
Hahaha "kakofi" huwa unapigwa mkiwa wawili faragha mkilichuma tunda la mti wa katikati.Angenipiga hata kakofi tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaaa hili eneo bhana! Ila Wanaume lazima mtiwe adabu ya namna hii! Mambo ya kupikiwa chakula special ndo nini? Kwani wake zenu hawapiki speshoo! Michepuko jaman wacheni kuumiza mama mijengo"Alikuja tu kuuliza Salma ni nani?mi sikuwa najua Salma gani...kabla sijajibu alinipiga na frying pan kichwan.kwa sekunde kadhaa network ilikata nikawa nasikia milio ya nyuki.haraka ananivamia na kuanza kunishambulia kwa magumi na mateke.wakati huo najiweka sawa alinipiga na remote jichoni."
[emoji23][emoji23] mkuu pole sana
Ila hii sio chai kweli?
Wangeyaongea tu, asa mambo ya kupigwa kichwani sio poa kabisa,, je angempasua macho jamaa kazi angefanyaje?Ha ha haaaa hili eneo bhana! Ila Wanaume lazima mtiwe adabu ya namna hii! Mambo ya kupikiwa chakula special ndo nini? Kwani wake zenu hawapiki speshoo! Michepuko jaman wacheni kuumiza mama mijengo
Hasira mbaya sanaHahahaha hasira hua haichagui kwa kupiga, kitu kizuri jamaa anaonesha bado yuko vizuri ku control hasira zake, angekuwa mwingine ungekuta bibie ni kilema au tushaanua matanga kitambo.