Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamtime kama hivyo alivyofanya wife wa jamaa, sio unakurupuka tu na nguvu huna lazima maji uite mma.Wadada mnawapata wapi hawa wanaume mnaowapiga? Mwenzenu Siku nilijaribu nikaambulia "uppercut".
[emoji23][emoji23] jaribu tenWadada mnawapata wapi hawa wanaume mnaowapiga? Mwenzenu Siku nilijaribu nikaambulia "uppercut".
Ulitaka umpige baharia mbata kimasihara akakuwahi 🤣🤣🤣Wadada mnawapata wapi hawa wanaume mnaowapiga? Mwenzenu Siku nilijaribu nikaambulia "uppercut".
Hao wameoa, wewe umeolewa hio ndio tofauti yenu.Niliona shost zangu wanapiga wao na kuwalazimisha wafanye kazi za nyumbani. Nikasema nisiwe mzembe ngoja na mie nijaribu.
Mpaka sasa hivi nasikia maumivu.Hahahaha aisee, "uppercut" haukutenguka taya kweli.
Lol...umejua kunichekesha upper cut ndo ikoje hiyo hahahaaa..Wadada mnawapata wapi hawa wanaume mnaowapiga? Mwenzenu Siku nilijaribu nikaambulia "uppercut".
😀😀 Kama naona kilichotokea.Wadada mnawapata wapi hawa wanaume mnaowapiga? Mwenzenu Siku nilijaribu nikaambulia "uppercut".
Usicheke ndugu yangu...nliumizwa sana
Ila wakifumaniwa wanakosa nguvu. Ngoja nijaribu siku nikifumania mambo ya ajabu ajabu. NitafidiaUnamtime kama hivyo alivyofanya wife wa jamaa, sio unakurupuka tu na nguvu huna lazima maji uite mma.
Ila kuna wale ndugu zake Heaven Sent na Zoë wanajiamini wanapiga kweli.
Haunitakii mema wewe.[emoji23][emoji23] jaribu ten
Ipo siku yake.Ulitaka umpige baharia mbata kimasihara akakuwahi 🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wakifumaniwa wanakosa nguvu. Ngoja nijaribu siku nikifumania mambo ya ajabu ajabu. Nitafidia
[emoji23][emoji23] polee usirudie kuna watu hawajaribiwi!Wadada mnawapata wapi hawa wanaume mnaowapiga? Mwenzenu Siku nilijaribu nikaambulia "uppercut".
Kuna wanawake wana maujuzi kiasi kwamba akiinua mkono unaogopa ukimrudishia atakuacha.😀 Sio kwamba huwezi kumdunda. Bora ukaushe uendelee kuneema na kile alichojaaliwa.😀😀Hao wameoa, wewe umeolewa hio ndio tofauti yenu.
Mwanamke mpaka anipige makofi labda niwe hoi mahututi. Kwangu mwanamke ni mwanamke tu hata awe nani katika nchii hii atakula kipigo cha mbwa koko na mashine juu ntamchapa nayo halafu freshi tu! 🤣🤣🤣
Hio inaitwa "Putting a lady in her place!"
Very gud.Mpaka sasa hivi nasikia maumivu.
Aisee, pole sana, kuna muda lazima ujifunze kwa njia ngumu.Mpaka sasa hivi nasikia maumivu.