1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Unachokitafuta utakipataIpo siku yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachokitafuta utakipataIpo siku yake.
Kwa situation kama hio unanywea cause you know you have fucked up. Na kulikoni kuanza kuulizwa maswali mengi bora ugongwe frampeni kesi iishe. Kuliko ugomvi wa kununiwa mwezi mzima maana hutakuwa na majibu yalionyooka 🤣🤣🤣🤣🤣Kuna wanawake wana maujuzi kiasi kwamba akiinua mkono unaogopa ukimrudishia atakuacha.😀 Sio kwamba huwezi kumdunda. Bora ukaushe uendelee kuneema na kile alichojaaliwa.😀😀
Ipo staili kama hiiLol...umejua kunichekesha upper cut ndo ikoje hiyo hahahaaa..
Mwezi mzima nilikuwa nakula vyakula vya kumiminika tuu.😀😀 Kama naona kilichotokea.
Mwezi mzima kugeuziwa mgongo sio poa. Mbaya zaidi maisha ya ndoa anabadili na kuvua hapo unamuona unabaki kuugulia na hamu zako🤣🤣Kwa situation kama hio unanywea cause you know you have fucked up. Na kulikoni kuanza kuulizwa maswali mengi bora ugongwe frampeni kesi iishe. Kuliko ugomvi wa kununiwa mwezi mzima maana hutakuwa na majibu yalionyooka 🤣🤣🤣🤣🤣
Pole, wengine huwa hatujaribiwi😀😀Mwezi mzima nilikuwa nakula vyakula vya kumiminika tuu.
Hahaha ulikosea formula, baada ya kuona ungewauliza wanafanyaje-fanyaje, huenda walikua washafanya yao kwa sangoma.Niliona shost zangu wanapiga wao na kuwalazimisha wafanye kazi za nyumbani. Nikasema nisiwe mzembe ngoja na mie nijaribu.
Ile siku nilipanga mengi sana. Nilitafuta lirungu nikalificha ndani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujawahi ona wanakosea wao na ukileta kidomo domo unakula mbata wewe? Hata akikosea usikurupuke, mlie timing.
Nishapoa.[emoji23][emoji23] polee usirudie kuna watu hawajaribiwi!
Asante. Dah angeniua yule.Aisee, pole sana, kuna muda lazima ujifunze kwa njia ngumu.
Hii ni chai ya kitanga mkuu iliki,karafuu na viungo mingi mingi imehusika"Alikuja tu kuuliza Salma ni nani?mi sikuwa najua Salma gani...kabla sijajibu alinipiga na frying pan kichwan.kwa sekunde kadhaa network ilikata nikawa nasikia milio ya nyuki.haraka ananivamia na kuanza kunishambulia kwa magumi na mateke.wakati huo najiweka sawa alinipiga na remote jichoni."
[emoji23][emoji23] mkuu pole sana
Ila hii sio chai kweli?
Aaaah [emoji23][emoji23][emoji23],,Ipo staili kama hii
Hadi wewe jamani?Pole, wengine huwa hatujaribiwi😀😀
Ungeua alafuu ungeenda ndani kuisaidia polisiIle siku nilipanga mengi sana. Nilitafuta lirungu nikalificha ndani.
Nikasema akisinzia nampa kubwa moja. Ila hasira zikaisha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yawezekana hili.Hahaha ulikosea formula, baada ya kuona ungewauliza wanafanyaje-fanyaje, huenda walikua washafanya yao kwa sangoma.
"Uppercut" sio mchezo, kuna kipindi nilijaribu kupambana na vibaka nikapigwa "uppercut" mbili za fasta, mpaka leo nahisi sijapona, japo ni kitambo kidogo.Asante. Dah angeniua yule.
Utadhani alikuwa anapigana na adui.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂"Uppercut" sio mchezo, kuna kipindi nilijaribu kupambana na vibaka nikapigwa "uppercut" mbili za fasta, mpaka leo nahisi sijapona, japo ni kitambo kidogo.