Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 hayo yako weweHuku ukiliwazwa na nyimbo za msechu
Arusha wastaniwe kabisa😁😁Jiwe gizani hajatajwa mtu hapa.
Naunga mkono hoja.Simba bob junior alivyovamiwa na Simba wenzake kumpoka utawala wa nyika habari ilivuma sana hapa nchini na wadau wakasikitishwa na kifo chake mno.
Nadhani hali itakuwa tofauti sana kwa faru Hadija wa tanapa ambaye analindwa sana na mamlaka siku akifa watu watafurahi sana maana rasilimali inayotumika kumtunza ni kubwa sana kuliko kawaida.
Yote katika yote hawa wanyama jamii ya faru ni adimu sana inabidi walindwe nguvu zote wasije wakatoweka kama ilivyokuwa kwa Bison
KamasiSasa Faru akidondoka Jump mwafarm ATABUBUJIKWA NA NINI
Wewe ni mtu wa hovyo sanaSimba bob junior alivyovamiwa na Simba wenzake kumpoka utawala wa nyika habari ilivuma sana hapa nchini na wadau wakasikitishwa na kifo chake mno.
Nadhani hali itakuwa tofauti sana kwa faru Hadija wa tanapa ambaye analindwa sana na mamlaka siku akifa watu watafurahi sana maana rasilimali inayotumika kumtunza ni kubwa sana kuliko kawaida.
Yote katika yote hawa wanyama jamii ya faru ni adimu sana inabidi walindwe nguvu zote wasije wakatoweka kama ilivyokuwa kwa Bison
Afya ya akiliTuwe na utofauti wa kiitikadi ila kumuombea binadamu mwenzako afe, hapana!!