Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Untouchablembowe ni polisi?
Akikujib nitag kiongozMbona hawajaongelea kuhusu comment ya mwanahalisi?Kwamba ben alionekana kwenye vijiwe vya kahawa?
Atamtoa kabla ya uchaguziTujiuliza pia, mbowe amefanya nini hadi sasa katika jitihada za kumtafuta saanane? Make hata updates tu za hili swala ni kimya kwenye chama, ina maana chama pia kilishatelekeza kumtafuta kama serikali.
Kwa hiyo kamfungia?Atamtoa kabla ya uchaguzi
Alaaniwe Mbowe na genge lake. RIP saanane
Nadharia zangu.
1. Alitekwa na ameshafariki. Na nani? Aliokuwa akiwakosoa? Sijui
2. Kajificha mwenyewe na wazazi wanaweza kuwa wanajua. Ndio maana hawajaweka msiba. Kwa nini? Sijui labda ka pre-empty mpango watu waliotaka kumteka na labda kumuua
3.. Ni afisa huyo either kamaliza kazi yake, au kaenda masomoni au kaona hatari kubwa ya maisha yake. Ni mda mrefu amekuwa akituhumiwa ni mtu asiyeeleweka na wengine kudhania yuko kikazi pamoja na kutuhumiwa kuwa alikuwa karibu na Jasusi mmoja mwanadiplomasia nguli kigogo ndani ya CCM. Na ndio maana pamoja na kugombea nafasi nyingi lakini alikuwa akikatwa kwa alichowahi kulalamika mizengwe.
Anajua kila kituKwa hiyo kamfungia?
uzuri ni kwamba Tundu Lissu alishawai sema huko mikocheni ambako Ben styteam ilikuwa inaonyesha yupo huko, ,,,kuwa kuna watu wa namna gani na kazi yao nn,,,watu wameshahau nadhani ;;;; Nakumbuka aliwai ongelea ilo Tundu lissuMbowe akamatwe awekwe ndani atueleze amemficha wapi Ben
Alaaniwe Mbowe na genge lake. RIP saanane
Tujiuliza pia, mbowe amefanya nini hadi sasa katika jitihada za kumtafuta saanane? Make hata updates tu za hili swala ni kimya kwenye chama, ina maana chama pia kilishatelekeza kumtafuta kama serikali.
hivi unataka mbowe afenyeje? kuwa specific afanye kitu gani?Sipo kujibu majungu, weka siasa pembeni kwa mambo muhimu, kumbka huyu alikuwa katibu wa Mwenyekiti, wewe unafikiri bila kutilia mkazo na uwazi na ufatiliaji kwa kuwatia kesh kesh polisi hatima ya hili swala itakuwaje? Mbowe huwa haongelei hili swala tofauti na alivyoongea mara moja kuwa vyombo vya usalama vinashughulikia, ni mwaka sasa.
Kwa maelezo haya naamini wakija Scotland Yard au CIA ndani ya masaa 24 watatoa mwelekeo!
Sio kwamba siviamini vyombo vyetu vya uchunguzi lakini ni kutokana na ukweli kwamba sasa mwaka umeisha bila kujua kilichomtokea Mtanzania huyu.
Hivi watu wanaozusha nadharia mbalimbali ili kuwapoteza watu katika kuwajua wahalifu wanafanya hivyo kwa sababu gani?Tujiuliza pia, mbowe amefanya nini hadi sasa katika jitihada za kumtafuta saanane? Make hata updates tu za hili swala ni kimya kwenye chama, ina maana chama pia kilishatelekeza kumtafuta kama serikali.