Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Hataukinywa Konya!Ukiwa huna hela hutalewa
interestingKila siku...
Maisha yafaa nini bila pombe
Nakuunga mkono mkuu tunajua inatuua lakini bado tunakunywa sijui wanaziwekeaga nini!!Pombe kwakweli sio nzuri. Mimi sioni faida yake kabisa. It is 100% poison ☠️ tunajua lakini bado tunakunywa. Inaharibu figo, ini hata kusababisha magonjwa mengine. Nailaani sana hii kitu. Ipo siku nitaivunja ndoa hii.
Nakuunga mkono mkuu tunajua inatuua lakini bado tunakunywa sijui wanaziwekeaga nini!!
Unaamka umechoka pesa imepungua unaapa kwa jina la yesu hupigi tungi tena zikipita wiki kadhaa koo linawasha unanza tena
Halafu haiongezi kitu chochote mwilini zaidi ya migogoro ya kifamilia kupunguza salio nakujidanganya tu!!Hili ni pepo mkuu.Mimi naichukia sana hii kitu. Sio rafiki wa pesa kabisa . Na inatesa tu no wonder the Bible says “It is not good for the Kings to drink “.
Ahaaahaaa....mkuu una hasira balaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Friday!!!
"Unathamini hawara na Pombe,Uchungu wa mwana..? ataujua nani Baba wee".
"Hawara chipsi mayai, watoto nyumbani viazi vitamu"