Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wana jumuiya wenzangu amani iwe kwenu.
Leo ni sikukuuu ya Nanenane… tunaendelea mdogo mdogo hapa Arusha . Tunang'ata kidogo kidogo na tupo na watoto wakaliiii balaa!
Hivi siku nzuri za kunywa pombe ni zipi jamani?
Weekend ama daily tu mupe muruke?
Leo ni sikukuuu ya Nanenane… tunaendelea mdogo mdogo hapa Arusha . Tunang'ata kidogo kidogo na tupo na watoto wakaliiii balaa!
Hivi siku nzuri za kunywa pombe ni zipi jamani?
Weekend ama daily tu mupe muruke?