Siku gani ni nzuri kwa kunywa pombe ?

Siku gani ni nzuri kwa kunywa pombe ?

Maisha yanafaa sana, yanakua bora zaidi unapomtegemea Mungu katika njia zako, yeye anayanyoosha mapito yako.

Upo hapo?
Kwani huu usemi unatokeaga wapi??.
Maisha yafaa nini bila pombe
 
Ndioo..hata hapa ndio nimefika nyumban,najiuliza nilale au nishtue kidogo maana imeishia njian
Mwenyewe nimelala mapema nimeamka dogo kanisumbua usingizi umeisha. Nawaza nikamalizie kiporo changu cha wine ndo nilale
 
Pombe kwakweli sio nzuri. Mimi sioni faida yake kabisa. It is 100% poison ☠️ tunajua lakini bado tunakunywa. Inaharibu figo, ini hata kusababisha magonjwa mengine. Nailaani sana hii kitu. Ipo siku nitaivunja ndoa hii.

Hivi unajua hata nguo ulizovaa izo zinasababisha kansa kutokana na material na chemical za kutengenezea na rangi zilizowekwa

So usiisingizie pombe kwamba ni sumu wakati kila asubui unakunywa sumu ya katika chai uliyoweka sukari
 
Back
Top Bottom