Siku hatari

Jocasta

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
474
Reaction score
595
Kama aliingia tarehe 4 mwezi wa 12 mwaka huu, siku yake ya kupata ujauzito ni ipi? anamzunguko mrefu wa siku 34
 
Kama aliingia tarehe 4 mwezi wa 12 mwaka huu, siku yake ya kupata ujauzito ni ipi? anamzunguko mrefu wa siku 34
Kwa mzunguko wa siku 34 hua wanaovulate siku ya 20.... kwa hiyo tarehe 23 inaweza kua ndio siku yenyewe lakin aanze leo mpk tarehe 26.

NB: Download app inaitwa Flo itasaidia zaidi.
 
Kwa mzunguko wa siku 34 hua wanaovulate siku ya 20.... kwa hiyo tarehe 23 inaweza kua ndio siku yenyewe lakin aanze leo mpk tarehe 26.Ahsante sana mkuu

NB: Download app inaitwa Flo itasaidia zaidi.
 
Siku ya kupata ujauzito ni siku ambayo atajamiiana akiwa kwenye heat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…