Siku Heche akirudisha posho alizolipwa akiwa mbunge nitakubalia na unafiki wake

Siku Heche akirudisha posho alizolipwa akiwa mbunge nitakubalia na unafiki wake

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Moja wapo ya ahadi ya mwana TANU ni "Nitasema ukweli Daima,fitina kwangu mwiko" na Leo Nitasema ukweli kama mwanaCCM unafiki sitaki.

Bwana Heche ameonesha kubeza posho ya 400000 walizokuwa wanalipwa wabunge ni kubwa. Sipo kwa lengo la kupinga au kukubali posho hizi ila nipo kuufichua unafiki wa Heche

Kipindi chote Cha ubunge wake hakuwahi kukosoa posho hizo na zaidi nafikiri alikuwa anatamani ziongezwe ila Leo kwa kuwa hapati posho hizo anasema ni kubwa. Huu ni unafiki na fitina kubwa kama mwanaCCM nimeahidi kuupinga.

Heche hajasema kama aliwahi kurudisha posho hizo kwa katibu wa bunge kuupinga ni kubwa. Huu ni unafiki inaonesha kesho akirudi bungeni atazifurahia.

Heche hajasema kuwa hata sasa anaweza kuzirudisha kwa namna nyingine hata kwa jamii kama kujenga hospitali, kukaa kwake kimya kwenye hili kunaeleza ni maneno matupu bila nia ya kweli. Huu ni unafiki

Heche haelezi kwamba posho hizo zinapangwa kisheria na sio kweli wanajilipa ila wanalipwa kwa mujibu wa sheria. Kujua sheria lakini kufikiri unaweza kuipotosha ni unafiki.

Huu ndio unafiki wa Heche ambao Mimi kama mwanaCCM nitaupinga kwa kusema fitina kwangu mwiko.

Pia soma > Pre GE2025 - John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!
 
uelewa wako ni mdogo
azirudishe kwa misingi ipi? alilipwa alicho stahili

kwamba unataka arudishe ziende wapi? yeye kafanya jukumu lake kusemea ukubwa wa posho kazi kwa wahusika kufanyia kqzi mawazo yake
 
Uko sahihi mjinga yeye ns Lisu lini waliwahi nyoosha mkono bungeni kupinga posho na mishahara mikubwa wanayolipwa wabunge bila kodi mikubwa kuliko wafanyakazi wa serikali,walimu nk lini?

Heche mnafiki mkubwa waandishi wa habari wamtafute wamkalishe kitimoto mnafiki huyo

Alipokuwa akipokea hakujua kuna walimu wanalipwa laki nne? Ambayo kwake ni posho ya siku moja tu?

Kwa nini hakupiga yowe au kugoma kupokea?
 
Moja wapo ya ahadi ya mwana TANU ni "Nitasema ukweli Daima,fitina kwangu mwiko" na Leo Nitasema ukweli kama mwanaCCM unafiki sitaki.

Bwana Heche ameonesha kubeza posho ya 400000 walizokuwa wanalipwa wabunge ni kubwa. Sipo kwa lengo la kupinga au kukubali posho hizi ila nipo kuufichua unafiki wa Heche

Kipindi chote Cha ubunge wake hakuwahi kukosoa posho hizo na zaidi nafikiri alikuwa anatamani ziongezwe ila Leo kwa kuwa hapati posho hizo anasema ni kubwa. Huu ni unafiki na fitina kubwa kama mwanaCCM nimeahidi kuupinga.

Heche hajasema kama aliwahi kurudisha posho hizo kwa katibu wa bunge kuupinga ni kubwa. Huu ni unafiki inaonesha kesho akirudi bungeni atazifurahia.

Heche hajasema kuwa hata sasa anaweza kuzirudisha kwa namna nyingine hata kwa jamii kama kujenga hospitali, kukaa kwake kimya kwenye hili kunaeleza ni maneno matupu bila nia ya kweli. Huu ni unafiki

Heche haelezi kwamba posho hizo zinapangwa kisheria na sio kweli wanajilipa ila wanalipwa kwa mujibu wa sheria. Kujua sheria lakini kufikiri unaweza kuipotosha ni unafiki.

Huu ndio unafiki wa Heche ambao Mimi kama mwanaCCM nitaupinga kwa kusema fitina kwangu mwiko.
Vitu vingine muwe mnanyamaza tu.
Hata kama hiyo posho imewekwa kisheria,logically unadhani ni sahihi kwa Mbunge kulipwa posho kama hiyo kwa siku?
Heche hata angetaka hizo posho zipunguzwe unadhani CCM ambao wapo wengi Bungeni wangekubali?

Mimi nadhani mnafiki ni wewe,maana hali halisi unaijua halafu unakuja kujitoa akili,sijui kwa faida Gani?
Kwenye ukweli acha ukweli usemwe.

NB;Mimi mwenyewe CCM,Ninamiliki kadi ya Uanachama Tangu 2000's lakini upuuzi huu wa kutetea Ujinga sifanyi.
 
Vitu vingine muwe mnanyamaza tu.
Hata kama hiyo posho imewekwa kisheria,logically unadhani ni sahihi kwa Mbunge kulipwa posho kama hiyo kwa siku?
Heche hata angetaka hizo posho zipunguzwe unadhani CCM ambao wapo wengi Bungeni wangekubali?
Angeongea kwanza tusikie sauti yake kuwa walau kaongea

Tanzania wanafiki wakubwa nchi hii wako watatu Lisu,Heche na Godbless Lema
 
  • Thanks
Reactions: Tui
uelewa wako ni mdogo
azirudishe kwa misingi ipi? alilipwa alicho stahili

kwamba unataka arudishe ziende wapi? yeye kafanya jukumu lake kusemea ukubwa wa posho kazi kwa wahusika kufanyia kqzi mawazo yake
Basi asione wivu wengine wakilipwa wanachostahili
 

NB;Mimi mwenyewe CCM,Ninamiliki kadi ya Uanachama Tangu 2000's lakini upuuzi huu wa kutetea Ujinga sifanyi.
Wewe sio CCM hakuna mwanachama hata mmoja mwenye kadi ya tangu 2000

Zilishabadlishwa hakuna hata mwanachama mmoja kadi yake inasoma hiyo miaka
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Vitu vingine muwe mnanyamaza tu.
Hata kama hiyo posho imewekwa kisheria,logically unadhani ni sahihi kwa Mbunge kulipwa posho kama hiyo kwa siku?
Heche hata angetaka hizo posho zipunguzwe unadhani CCM ambao wapo wengi Bungeni wangekubali?

Mimi nadhani mnafiki ni wewe,maana hali halisi unaijua halafu unakuja kujitoa akili,sijui kwa faida Gani?
Kwenye ukweli acha ukweli usemwe.

NB;Mimi mwenyewe CCM,Ninamiliki kadi ya Uanachama Tangu 2000's lakini upuuzi huu wa kutetea Ujinga sifanyi.
Kuna mahakama pia, wewe kama mwananchi tafuta usaidizi wa kisheria ili kuona uhalali wa wabunge kulipwa fedha hizo.

Fanya wajibu wako kama mwananchi
 
Heche ameongea ukweli, haiwezekani posho ya mbunge kwa siku moja ni sawa na mshahara wa mwalimu.
Mwalimu ana mshahara kumzidi dereva, mbona hamtaki kumsemea dereva, mlinzi au mhudumu? Kwanini mwalimu?
 
Heche ameongea ukweli, haiwezekani posho ya mbunge kwa siku moja ni sawa na mshahara wa mwalimu.
Bungeni hajawahi ongea hilo akiwa mbunge akipokea hizo hela aliufyata kimya akawa anakula kuku kwa mrija
 
Sheria nzuri zinatunufaisha wote na sheria mbovu zinatuumiza.

Kwa umri ulionao unatakiwa ulitambue hilo.
 
Yeye kama mpinzani hayo ndiyo maneno atakayosema, akisifia yaliyofanywa na serikali ya ccm ataonekana kuwa amenununliwa.
 
Vitu vingine muwe mnanyamaza tu.
Hata kama hiyo posho imewekwa kisheria,logically unadhani ni sahihi kwa Mbunge kulipwa posho kama hiyo kwa siku?
Heche hata angetaka hizo posho zipunguzwe unadhani CCM ambao wapo wengi Bungeni wangekubali?

Mimi nadhani mnafiki ni wewe,maana hali halisi unaijua halafu unakuja kujitoa akili,sijui kwa faida Gani?
Kwenye ukweli acha ukweli usemwe.

NB;Mimi mwenyewe CCM,Ninamiliki kadi ya Uanachama Tangu 2000's lakini upuuzi huu wa kutetea Ujinga sifanyi.
Malipo ni makubaliano baada ya KAZI hivyo Sina mamlaka binafsi ya kusemea malipo wanayolipwa wabunge ni sahihi ama laaa ila kama ndio makubaliano ya KAZI hiyo basi ni sahihi.

Mnafiki ni yule anayefanya kwa kujificha ili baadaye aonekane ni shujaa wa kutetea.

CCM kukubaliana au kutokukubaliana na hoja inategemea uzito wa hoja. Hoja ya kutokukubaliana na waziri Mkuu lowassa ilitolewa na Mpinzani Dkt.Slaa kipindi lakini CCM walikubaliana nayo na hoja ikapita kwa wingi hivyo itategemea na itakavyowasilishwa
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Moja wapo ya ahadi ya mwana TANU ni "Nitasema ukweli Daima,fitina kwangu mwiko" na Leo Nitasema ukweli kama mwanaCCM unafiki sitaki.

Bwana Heche ameonesha kubeza posho ya 400000 walizokuwa wanalipwa wabunge ni kubwa. Sipo kwa lengo la kupinga au kukubali posho hizi ila nipo kuufichua unafiki wa Heche

Kipindi chote Cha ubunge wake hakuwahi kukosoa posho hizo na zaidi nafikiri alikuwa anatamani ziongezwe ila Leo kwa kuwa hapati posho hizo anasema ni kubwa. Huu ni unafiki na fitina kubwa kama mwanaCCM nimeahidi kuupinga.

Heche hajasema kama aliwahi kurudisha posho hizo kwa katibu wa bunge kuupinga ni kubwa. Huu ni unafiki inaonesha kesho akirudi bungeni atazifurahia.

Heche hajasema kuwa hata sasa anaweza kuzirudisha kwa namna nyingine hata kwa jamii kama kujenga hospitali, kukaa kwake kimya kwenye hili kunaeleza ni maneno matupu bila nia ya kweli. Huu ni unafiki

Heche haelezi kwamba posho hizo zinapangwa kisheria na sio kweli wanajilipa ila wanalipwa kwa mujibu wa sheria. Kujua sheria lakini kufikiri unaweza kuipotosha ni unafiki.

Huu ndio unafiki wa Heche ambao Mimi kama mwanaCCM nitaupinga kwa kusema fitina kwangu mwiko.

Pia soma > Pre GE2025 - John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!
Sasa arudishe ili iweje wewe kiazi, hv kwa nn wazazi wenu walilipa ada kuwasomesheni nyie? Shule mmeenda kusomea ujinga?
 
Moja wapo ya ahadi ya mwana TANU ni "Nitasema ukweli Daima,fitina kwangu mwiko" na Leo Nitasema ukweli kama mwanaCCM unafiki sitaki.

Bwana Heche ameonesha kubeza posho ya 400000 walizokuwa wanalipwa wabunge ni kubwa. Sipo kwa lengo la kupinga au kukubali posho hizi ila nipo kuufichua unafiki wa Heche

Kipindi chote Cha ubunge wake hakuwahi kukosoa posho hizo na zaidi nafikiri alikuwa anatamani ziongezwe ila Leo kwa kuwa hapati posho hizo anasema ni kubwa. Huu ni unafiki na fitina kubwa kama mwanaCCM nimeahidi kuupinga.

Heche hajasema kama aliwahi kurudisha posho hizo kwa katibu wa bunge kuupinga ni kubwa. Huu ni unafiki inaonesha kesho akirudi bungeni atazifurahia.

Heche hajasema kuwa hata sasa anaweza kuzirudisha kwa namna nyingine hata kwa jamii kama kujenga hospitali, kukaa kwake kimya kwenye hili kunaeleza ni maneno matupu bila nia ya kweli. Huu ni unafiki

Heche haelezi kwamba posho hizo zinapangwa kisheria na sio kweli wanajilipa ila wanalipwa kwa mujibu wa sheria. Kujua sheria lakini kufikiri unaweza kuipotosha ni unafiki.

Huu ndio unafiki wa Heche ambao Mimi kama mwanaCCM nitaupinga kwa kusema fitina kwangu mwiko.

Pia soma > Pre GE2025 - John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!
Aziruudishe ili iweje? Mwambie na ndugai aliyekuwa analipwa posha zitokanazo na pesa za mikopo arudishe maana alikosoa mikipo
 
Back
Top Bottom